mugomangara
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 238
- 622
- Thread starter
- #261
Ujafikiria kurudi nyumbani ukale na kulala bure
Daah...hapana kwa umri huu siwezi rudi nyumbani
Ujafikiria kurudi nyumbani ukale na kulala bure
Ikiwa hauna ajira ni rahisi kufikiri kuwa wenye ajira wana kipato kikubwa kinachowawezesha kuwekeza!! Sehemu kubwa ya waajiriwa kipato chao hakitoshelezi mahitaji yao Hivyo huwa na madeni muda wote! Mshahara ukichelewa siku mbili tu wataanza kulia humu jamvini!Shida ni pale unapoajiriwa, halafu ukasahau kuwekeza
Wazo zuriJaribu na kufuga mkuu wakati unafanya kilimo mkuu.
Pole sana.
Nashukuru kwa kuianzisha siku yangu vizuri.
Hili la mke kuwa mpambanaji kwa wale walio makazini ni jambo zuri sana japo wengi hawaliwezi, ukiwa kazini mwanaume unapaswa kumtumia mkeo kama tool kwenye kutafuta kipato mbadala..
Mkuu ungetwambiaje unafanya nini kwa sasa ili utifundishe, hili neno la NITAKOMAA halina definition.Nina miaka miwili sina kazi, nilifanyiwa figisu kama zako - nimepanga Tabata 250K per month, watoto wa2, mmoja anasoma std 6 Atlas na mwingine std 2 Christ the King. Nitakomaa mpaka tone la mwisho hapa mjini.
NB: Figisu za mjini naziweza vizuri tu-wala sio muoga wa maisha.
Asante mkuuBonge la point aisee!
Hapo ulipo una deni la mil.3. Hii ni Hasara. Faida uliyonayo ni uzoefu was miaka 2 katika kilimo cha matikiti, shamba, pump, kijumba cha kupumzikia shamba, vifaa vya kulimia. Kitu kingine ni connection na wapi pa kupata na jinsi ya madawa (rudi kalime tikiti changanya na mazao mengine yanayoendana) ukipata faida kidogo jaa na juchanganye sehemu zenye mdongamano wa watu wengi kama gongolamboto, mbezi mwisho, mbagara fanya buasharaNashukuru mkuu, siwezi kata tamaa.
😂😂😂Nilichojifunza ni kuwa ajira ni kama mtumwa anayelipwa. Huna haki ya kiomba fidia yako. Na ukojidai kimbelembele unatumbuliwa. Hii ndiyo maana unaona hata viongozi wa serikalini siku hizi wamekuwa kama mbwa koko. Wanabweka mbele ya mwenye mbwa ila kumbe huku nyuma wanakutana na pumbavu za kutosha.
Sio aibu mkuu vitu vingine hua haviko poa maana katika maisha habari mbaya ndo husambaa zaidi kuliko habari nzuri mfano ukifukuzwa kazi watu wengi sana watashangilia tofauti na ukipata shavu i.e World Bank
Ahsante ndugu...ninasubiri mvua nipande karanga hekari 2 kwanza
Sioni wadau wakishauri kufuga ng'ombe wa maziwa sijui mradi huu umepoteza umaarufu?