cappo di cappi
Member
- Sep 17, 2013
- 29
- 7
Wakati maombolezo na wasifu wa komredi Madiba vinaendelea nimejifunza jambo moja la msingi ambalo ni msamaha, mipaka yake na mambo ambayo yanasameheka na ambayo katu hayasameheki ( kama vile mfungwa wa mauaji asivyopata msamaha wa rais).
Kwa kifupi ni kwamba mkeo kupigwa nje ni dhambi isiyosameheka na haipo katika zile unazoweza samehe mara saba sabini. Ndiyo maana mzee Madiba alisamehe watesi wake wote lakini si Winnie Mandela.
Naomba kuwasilisha.
Kwa kifupi ni kwamba mkeo kupigwa nje ni dhambi isiyosameheka na haipo katika zile unazoweza samehe mara saba sabini. Ndiyo maana mzee Madiba alisamehe watesi wake wote lakini si Winnie Mandela.
Naomba kuwasilisha.