Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,948
- 146,181
Huyo mshua ananikumbusha washua wa enzi za Sheikh Shaaban Robert.
Ni kama character out of a Shaaban Robert book.
Wazee wa hivi wanaisha, wanabakia machepelee gubegube wenye visasi na matusi kutuongoza.
Nyerere alishawahi kupata mgogoro wa mpaka na Kamuzu Banda wa Malawi, Banda akataka kuchukua sehemu ya Tanzania. Nyerere akamwambia chukua Tanzania yote kabisa.
Ni kama character out of a Shaaban Robert book.
Wazee wa hivi wanaisha, wanabakia machepelee gubegube wenye visasi na matusi kutuongoza.
Nyerere alishawahi kupata mgogoro wa mpaka na Kamuzu Banda wa Malawi, Banda akataka kuchukua sehemu ya Tanzania. Nyerere akamwambia chukua Tanzania yote kabisa.