Nilichojifunza kuhusu punyeto

Hii kitu mbaya sana

Hii kitu nilianza kiutani tu, siku moja nilikaa na grup moja hiv tukiwa 4m4 wakaongelea nilikua sijawah kusikia before, nikawa nashindana nifanye au nisifanye, siku moja nikaona ngoja nijaribu nione inavokua asee ndo ukawa mwanzo wa safari ya Punyeto(imenitesa sana).

Ilifikia sasa unatafuta mwanamke unachati nae 4n sex( wanawake wengi wanapenda sana huu mchezo) wengi walikua wanaanzisha wao mpaka nikawa nimebobea kwenye huo mchezo ukawa wa kufanyia punyeto.

From 4m4 up to mwaka wa 3 nafanyaga tu.

ilifikia mahali nikawa naamka usiku nalia peke angu tu nataka niache nashindwa. Siku moja niliumwa upele sehemu za siri ishu yote ilijaa upele unauma balaa, kijana alinyongonyea sanaa. Nilipona sitaman tena hata kuweka mkono huko chini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23]
 
Google prone Masturbation hlf uache
 
Cha msingi ni KUACHA sababu upande wangu miaka yote sijaona faida hata moja, naishia kujichukia tu na kuogopa madem maana nahisi ntaaibika sababu nimewahi kuaibika mara moja nilishindwa kula tunda kabisa usiku kucha
duuh pole. [emoji2] [emoji2]
kwaio umeshapona? au ndo doz umezdisha kabsa??
 
unasex kweli ww
 
Hua naacha kwa mda ila inajirudia tena,bt naamini ipo siku itaisha kabisa, sa hz naweza kuacha hata mwezi ila siku nikiona porn kidogo tu yanajirudia.
kwaio unaonaje uache kuangalia hio midudu.i.e porn. na kuwa bze na epuka kukaa idle(jichanganye na watu). alafu anza kuwa na mahusiano na mwanamke.najua ku-do mwanzon italuwia ngum ila hatimaye uta- graduate kuwa kungwi mzoefu hadi utapewa ASANTE za kutosha toka kwa mwenz wako. utapona trust me!!![emoji19]
na usile sasa vichips vyenu ( kama upo dar). piga vyakula vya asili.

onyo...onyo...onyooo[emoji117] usirudie kupiga puli asee!!! utapona tu kuwa na iman kwanza kwamba unaweza pona!!!
 
ubaya ni kwamba mpenz wangu yuko mbali.. na mi sitaki kumhadaa mdada ambae najua sina future nae... its real hard for me.
 
hii kitu nimejaribu kadri ya uwezo wangu kuacha nimeshindwa kabisaaa, nikijitaid sana kukaa bila kupiga ni siku 3 tena apo nakua najiandaa kwenda kugegeda dem[emoji29] [emoji27]
 
dawa ya kuacha puli ni kuwa busy, na kuepuka kukaa mwenyewe muda ambao haupo busy. Hiyo ndio dawa pekee ya puli, , asante sana
 
hii kitu nimejaribu kadri ya uwezo wangu kuacha nimeshindwa kabisaaa, nikijitaid sana kukaa bila kupiga ni siku 3 tena apo nakua najiandaa kwenda kugegeda dem[emoji29] [emoji27]
Sasa unapoenda huko kugegeda unasimamia show vizuri kweli.?
 
kuna jamaa alikuwa anatafuta nzi anamuweka kwenye kimfuko kidogo alafu anafunga mfuko kwenye dushe anakuwa anamtekenya pale nzi akiwa anacheza cheza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kali sana aisee
 
Mie kila nikijarbu kuacha wapii nakaa wiki ama wiki mbili narudia tena japokuwa si mfululizo yani jumatat mpaka jumapili daaaah sielewi kabisa na mazoezi nafanya sana tu yani.!
 
dawa ya kuacha puli ni kuwa busy, na kuepuka kukaa mwenyewe muda ambao haupo busy. Hiyo ndio dawa pekee ya puli, , asante sana
huwa napata tabu sana kuanzia cha pili na kuendelea yaan mwsho wangu 2 au 3 nkilala nae, but najitaid kile cha kwanza kutumia mda mwingi kumridhisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…