Nilichojifunza Bandarini Dublin Kuhamia Dar - PINDA

Nilichojifunza Bandarini Dublin Kuhamia Dar - PINDA

Jujuman

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2008
Posts
248
Reaction score
33
Mheshimiwa Waziri mkuu wa Tanzania Bw Mizingo Pinda alitamka hayo alipokua akijibu maswali ya viongozi wa jumuia mbalimbali za Watanzania waishio Uingereza. Mkutano huo ulifanyika katika ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini London pia ulihudhuriwa na Mh Balozi mama Mwanaidi Maajar na Maafisa wa ubalozi.baada ya viongozi wa jumuia hizo kujitamulisha wakiongozwa na mwenyekiti wa Tanzania association,Waziri mkuu alitoa fursa ya kujibu maswali badala ya kutoa hutuba,akichelea kuwbowesha wasikilizaji wake.Maswali yaliyojitokeza yalihusu 1,uraia wa nchi mbili 2,hali ya ufisadi nchini TZ 3,mizigo bandarini 4,hospitali mkoa wa mara 5,rushwa(bandari,TRA,(EPA)).6,hospitali ya muhimbili na 7,kitabu ;bunge lenye meno.Katika kujibu maswali hayo waziri mkuu alielezea hali ya bandari ya dar kama ni ya kusikitsha mno na ana hakika ubovu mkubwa uliopo na uzorotaji unasababishwa na MKATABA MBOVU ambao umemkabidhi Mkandarasi mmoja kumiliki shughuli zote. kutokana na kukosa mshindani imemfanya aendeshe kama apendavyo alisema waziri Pinda.Hiyo ni tofauti kabisa na hali niliyoikuta Dublin,Bandari ya Dublin kuna Wakandarasi Tisa wanaoopareti hivyoni wazi kutakua na ushindani wa kutrak Meli in. Hivyo nimeondoka na funzo kuwa mkataba tulionao Dar hautufai na hauwafai Wananchi na sidhani kama itakuwa kazi kuwashawish wenzangu kuvunja mkataba huo na tuige mfano wa Dublin.I think we can alisisitiza Pinda na Wasikilizaji walijibu YES WE CAN huku wakipiga makofi.Chanzo changu kiliniarifu kuwa kikao hicho kilichelewa kuanza lakini kwa mtazamo wake kilikua cha mafanikio kwa pande zote. kikao kilifanyika jana 02 03 2009.

Takriban mwaka na miezi miwili sasa toka waziri mkuu Mh. Mizingo Pinda atoe ahadi ya kurekebisha matatizo yaliopo katika bandari ya DAR ifanane na aliyoyaona katika bandari ya Dublin. Kesho 26/05/2010 anakutana na Wadau wale wa mwaka jana jijini London, mh Waziri mkuu, swali la nyongeaza: Ni mabadiliko gani yamefikiwa katika Bandari ya Dar es salaam toka ulipotupa ahadi ya kupeleka mfano wa Bandari ya Dublin zaidi ya mwaka mmoja uliopita?
 
Muhehimiwa Waziri mkuu wa Tanzania Bw Mizingo Pinda alitamka hayo alipokua akijibu maswali ya viongozi wa jumuia mbalimbali za Watanzania waishio Uingereza. Mkutano huo ulifanyika katika ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini London pia ulihudhuriwa na Mh Balozi mama Mwanaidi Maajar na Maafisa wa ubalozi.baada ya viongozi wa jumuia hizo kujitamulisha wakiongozwa na mwenyekiti wa Tanzania association,Waziri mkuu alitoa fursa ya kujibu maswali badala ya kutoa hutuba,akichelea kuwbowesha wasikilizaji wake.Maswali yaliyojitokeza yalihusu 1,uraia wa nchi mbili 2,hali ya ufisadi nchini TZ 3,mizigo bandarini 4,hospitali mkoa wa mara 5,rushwa(bandari,TRA,(EPA)).6,hospitali ya muhimbili na 7,kitabu ;bunge lenye meno.Katika kujibu maswali hayo waziri mkuu alielezea hali ya bandari ya dar kama ni ya kusikitsha mno na ana hakika ubovu mkubwa uliopo na uzorotaji unasababishwa na MKATABA MBOVU ambao umemkabidhi Mkandarasi mmoja kumiliki shughuli zote. kutokana na kukosa mshindani imemfanya aendeshe kama apendavyo alisema waziri Pinda.Hiyo ni tofauti kabisa na hali niliyoikuta Dublin,Bandari ya Dublin kuna Wakandarasi Tisa wanaoopareti hivyoni wazi kutakua na ushindani wa kutrak Meli in. Hivyo nimeondoka na funzo kuwa mkataba tulionao Dar hautufai na hauwafai Wananchi na sidhani kama itakuwa kazi kuwashawish wenzangu kuvunja mkataba huo na tuige mfano wa Dublin.I think we can alisisitiza Pinda na Wasikilizaji walijibu YES WE CAN huku wakipiga makofi.Chanzo changu kiliniarifu kuwa kikao hicho kilichelewa kuanza lakini kwa mtazamo wake kilikua cha mafanikio kwa pande zote. kikao kilifanyika jana 02 03 2009.
Atarejea na mambo ni yale yale.

MARA NYINGI TUNACHOJIFUNZA KUTOKANA NA HISTORIA NI KUTOKUJIFUNZA CHOCHOTE KUTOKANA NAYO.

Angalau analalamikia mkataba!!!!!!!!
 
Muhehimiwa Waziri mkuu wa Tanzania Bw Mizingo Pinda alitamka hayo alipokua akijibu maswali ya viongozi wa jumuia mbalimbali za Watanzania waishio Uingereza. Mkutano huo ulifanyika katika ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini London pia ulihudhuriwa na Mh Balozi mama Mwanaidi Maajar na Maafisa wa ubalozi.baada ya viongozi wa jumuia hizo kujitamulisha wakiongozwa na mwenyekiti wa Tanzania association,Waziri mkuu alitoa fursa ya kujibu maswali badala ya kutoa hutuba,akichelea kuwbowesha wasikilizaji wake.Maswali yaliyojitokeza yalihusu 1,uraia wa nchi mbili 2,hali ya ufisadi nchini TZ 3,mizigo bandarini 4,hospitali mkoa wa mara 5,rushwa(bandari,TRA,(EPA)).6,hospitali ya muhimbili na 7,kitabu ;bunge lenye meno.Katika kujibu maswali hayo waziri mkuu alielezea hali ya bandari ya dar kama ni ya kusikitsha mno na ana hakika ubovu mkubwa uliopo na uzorotaji unasababishwa na MKATABA MBOVU ambao umemkabidhi Mkandarasi mmoja kumiliki shughuli zote. kutokana na kukosa mshindani imemfanya aendeshe kama apendavyo alisema waziri Pinda.Hiyo ni tofauti kabisa na hali niliyoikuta Dublin,Bandari ya Dublin kuna Wakandarasi Tisa wanaoopareti hivyoni wazi kutakua na ushindani wa kutrak Meli in. Hivyo nimeondoka na funzo kuwa mkataba tulionao Dar hautufai na hauwafai Wananchi na sidhani kama itakuwa kazi kuwashawish wenzangu kuvunja mkataba huo na tuige mfano wa Dublin.I think we can alisisitiza Pinda na Wasikilizaji walijibu YES WE CAN huku wakipiga makofi.Chanzo changu kiliniarifu kuwa kikao hicho kilichelewa kuanza lakini kwa mtazamo wake kilikua cha mafanikio kwa pande zote. kikao kilifanyika jana 02 03 2009.
Atarejea na mambo ni yale yale.

MARA NYINGI TUNACHOJIFUNZA KUTOKANA NA HISTORIA NI KUTOKUJIFUNZA CHOCHOTE KUTOKANA NAYO.

Angalau analalamikia mkataba!!!!!!!!
 
Yeah ni kweli mazingira yalimfanya atoe kauli hiyo ndiyo uanasiasa huo lazima ujue kupiga longo longo kidogo na ikubalike ili usizomewe.
 
Kaazi kweli kweli,

Nadhani kama kweli wanasiasa, wanadhamira ya kweli ya kurekebisha hali mbaya ya huduma za utoaji mizigo bandarini, alitakiwa aseme hukuhuko alipokuwa Uingereza kuwa, Mkandarasi wa Sasa aanze kufungasha virago vyake.

Yeye ni mkuu wa Wizara zote, na hana haja ya kuanza politiki za 'kushauriana'. Lakini, sitegemei jipya, maana hata bosi wake ameshatembelea huko bandarini na kuishia kuwanyooshea tu vidole wezi ambao anawajua hadi kwa majina.
 
tatizo kubwa la wabongo, ni kwamba huwa hatu strike dili zile za muhimu kwanza, na maendeleo yetu huwa hatuwi serious kwenye maeneo nyeti kwanza. kinachotakiwa ni kuwa na special seriousness kwenye maeneo nyeti ambayo yanaweza kutuingizia pesa nyingi. maeneo kama bandari ni lazima yawekewe kipaumbele, viwanja vya ndege, elimu na mawasiliano(barabara na reli). hamnaga haja kupoteza muda kwenye mambo mengine, wewe rais fuatilia haya hapa juu, peleka pesa nyingi huko, use strict na wafanya kazi wa huko sana kwa muda wa miaka mitano tu,uone kama hakuna mabadiliko.

iyo kazi ya urais tungekuwa tumepewe sisi wengine, hii nchi ingeendelea kwa muda wa miaka kumi hadi ishirini kuwa ya middle class.
 
Muhehimiwa Waziri mkuu wa Tanzania Bw Mizingo Pinda alitamka hayo alipokua akijibu maswali ya viongozi wa jumuia mbalimbali za Watanzania waishio Uingereza. Mkutano huo ulifanyika katika ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini London pia ulihudhuriwa na Mh Balozi mama Mwanaidi Maajar na Maafisa wa ubalozi.baada ya viongozi wa jumuia hizo kujitamulisha wakiongozwa na mwenyekiti wa Tanzania association,Waziri mkuu alitoa fursa ya kujibu maswali badala ya kutoa hutuba,akichelea kuwbowesha wasikilizaji wake.Maswali yaliyojitokeza yalihusu 1,uraia wa nchi mbili 2,hali ya ufisadi nchini TZ 3,mizigo bandarini 4,hospitali mkoa wa mara 5,rushwa(bandari,TRA,(EPA)).6,hospitali ya muhimbili na 7,kitabu ;bunge lenye meno.Katika kujibu maswali hayo waziri mkuu alielezea hali ya bandari ya dar kama ni ya kusikitsha mno na ana hakika ubovu mkubwa uliopo na uzorotaji unasababishwa na MKATABA MBOVU ambao umemkabidhi Mkandarasi mmoja kumiliki shughuli zote. kutokana na kukosa mshindani imemfanya aendeshe kama apendavyo alisema waziri Pinda.Hiyo ni tofauti kabisa na hali niliyoikuta Dublin,Bandari ya Dublin kuna Wakandarasi Tisa wanaoopareti hivyoni wazi kutakua na ushindani wa kutrak Meli in. Hivyo nimeondoka na funzo kuwa mkataba tulionao Dar hautufai na hauwafai Wananchi na sidhani kama itakuwa kazi kuwashawish wenzangu kuvunja mkataba huo na tuige mfano wa Dublin.I think we can alisisitiza Pinda na Wasikilizaji walijibu YES WE CAN huku wakipiga makofi.Chanzo changu kiliniarifu kuwa kikao hicho kilichelewa kuanza lakini kwa mtazamo wake kilikua cha mafanikio kwa pande zote. kikao kilifanyika jana 02 03 2009.

Kwanza nasikitika kumis kikao hicho. Pili naomba kuuliza watanzania wenzangu mlioshiriki kikao na kumpigia makofi YES WE CAN kama inavyoripotiwa, mnafahamu mchakato ya policy intervention katika nchi zinazo endelea na mkaona applicability yake TZ kisha kumpigia makofi bila hata yaufafanuzi itafanyikaje? Mambo ya kitaalamu tusiruhusu wanasiasa watupige politic na kuwashangilia, they should tell us how they gonna put things into practice. Swali dogo tu mngemuuliza Dublin kuna makampuni tisa ya kutoa Mizigo badalini je na TZ tunahitaji kampuni tisa or what is feasible number of firms we need for the purpose? Mipango mingi inafeli bongo kwa kuwa wanasiaja wanaiga bila hata kujua empirical and conventional basis ya hivyo wanavyo taka kucopy. Nashauri tuache kushangilia mpaka tuelezwe mikakati husika sio politic za kuwafanya politician watoke roho zao zikiwa zimesuuzika kwa kudanganya umma.
 
..safari yake imetugharimu walalahoi kiasi gani?

..na huko bandarini Dublin alikaa muda gani kiasi cha kurudi nyumbani akiwa mtaalamu wa kuendesha bandari?
 
Ina maana Pinda hakujua hili kuwa wananchi wanaumia hadi alipoenda Dublin?
Kwa nini hakubeba wataalamu wa hicho kitengo kwani wao ndiyo wataojenga. Au mtu kama yeye ambaye nafikiri kasomea ....... ataanza kuwaambia Wahanidisi, watu wa utawala, usafiri nk jinsi ya kufanya hizo kazi zao? Mbona wanasiasa wanapenda sana kuingilia fani za watu. Yes we can!!! Yes we CAN'T!!!
 
Ni siasa tu hizo....safari ngapi ameshafanya na vitu vingapi ameshajifunza na maamuzi mangapi ameshayafanya kuhusiana na hizo safari ngapi alizozifanya?
Si amesharudi nyumbani??? Na tukae mkao wa kula kusikia kama kutakuwa na overhaul handling ya hiyo bandari....
Na yule mzee mtanashati naye na suprise visits zake anaenda kupiga mkwala tu pale bandarini wakati ana power ya kuinua 'red phone' watu kuwajibika..... ni PR STUNT tu hizi, na wanakuwa mahodari na hizi lately!!
 
Haya mafunzo mengine yanahitaji kweli kwenda nje ya nchi?
 
Inasikitisha, miaka 3 ndani ya madaraka serikali ya JK bado wako darasani ? Lini watahitimu na kuanza kufanya kazi tulizowatuma. Hivi kweli unahitaji kwenda Dublin kusoma hayo aliyofundishwa Pinda? Wizi mtupu.
 
Kuna kuzugana hapa. Viongozi wetu wamefanya ziara nyingi sana na wameona mengi sana, na wanapokuja nyumbani huwa wanasema tumejifunza mengi ziarani. Lakini wanachofanya hakuna. Sasa mheshimiwa amesema hayo, tusubiri ndani ya miezi sita tuone kama kweli hayo yatatekelezwa. Tutakutana hapa hapa JF, tutarudia ufisadi wa Bandari. Kama lengo ni kutaka kujifunza na kubadilisha mambo, tungeanza kujifunza na Mombasa hapo karibu kabisa. Dublin haifanani na sisi hata chembe.
 
Inasikitisha, miaka 3 ndani ya madaraka serikali ya JK bado wako darasani ? Lini watahitimu na kuanza kufanya kazi tulizowatuma. Hivi kweli unahitaji kwenda Dublin kusoma hayo aliyofundishwa Pinda? Wizi mtupu.

Unashangaa miaka mitatu?? Hivi ushajua umri wa hao watu kustaafu serikalini? Usitake kushangaa maana ukiuliza umri wa wazee wetu serikalini hakuna aliyezidi miaka 45 na hali toka nipo sekondari miaka ya 80 wapo madarakani. Hawaongezeki umri wala hawastaafu, zaidi unaona ngozi inajikunja taratibu kama Mgabe. Hakuna mkufunzi wala wakurufunzi na hakuna kuelewa somo, hii ndiyo siri ya kuendelea kutawala Tanzania.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Mzalendo Halisi.

Kimei ameshiriki sana kupitisha pesa za EPA benki yake kama angekuwa makini yasingetokea hayo. Benki kama KENYA COMMERCIAL NA BARCLAYS walishutka mapema.pesa zote za EPA zimepitia CRDB kwa KIMEI ilitakiwa nae awajibishwe.

Pinda Mizengo uPM umemkubali kwani alipokuwa anachaguliwa sura yake ilikuwa na makunyanzi kama kapata ajali.

hivi sasa uso unakunjuka.ama kweli uwaziri mkuu mzuri.yeye alikuwa PA wa mwalimu Nyerere toka 1970s jee safari zote za mwalimu Nyerere alizokuwa akiongozana nae hakujifunza?NAONA siku hizo amekuwa na pause kama JK fulani, na Membe nae hujifanya JK fulani, tena wote wanataka urais baada ya JK. ila Membe dili ya vitambulisho vya taifa inaweza kumuharibia kwani kina Lowassa hawakubali kuikosa.
 
Kuna kuzugana hapa. Viongozi wetu wamefanya ziara nyingi sana na wameona mengi sana, na wanapokuja nyumbani huwa wanasema tumejifunza mengi ziarani. Lakini wanachofanya hakuna. Sasa mheshimiwa amesema hayo, tusubiri ndani ya miezi sita tuone kama kweli hayo yatatekelezwa. Tutakutana hapa hapa JF, tutarudia ufisadi wa Bandari. Kama lengo ni kutaka kujifunza na kubadilisha mambo, tungeanza kujifunza na Mombasa hapo karibu kabisa. Dublin haifanani na sisi hata chembe.

Alienda Namibia akajifunza jinsi wanavyoprocess samaki na kilimo, akaenda South Africa akajifunza kufuga ng'ombe, akaenda South Korea akajifunza indoor farming, akaenda Israel akajifunza kulima matunda, akaenda Misiri akajifunza irrigation, akaenda Dublin akajifunza mambo ya bandari, akitoka hapo ataenda USA kujifunza mambo ya Banking ( bail out), akitoka hapo ataenda South America Brazil atajifunza jinsi ya kufuga samaki, akitoka hapo ataenda Argentina atajifunza kufuga ng'ombe wa kisasa. (tayari miaka 5 imepita). au anatafuta per diem.
 
Mkuu,
Pinda alijibu nini kuhusu hospitali ya Mara?Ni hospitali gani inaongelewa ni ile ya Kwangwa au ni ya pale mjini iliyoachwa na mkoloni?Kuna wakati nilisikia hospitali ya Kwangwa ianataka kuchukuliwa na Kanisa Katoliki.
 
Unashangaa miaka mitatu?? Hivi ushajua umri wa hao watu kustaafu serikalini? Usitake kushangaa maana ukiuliza umri wa wazee wetu serikalini hakuna aliyezidi miaka 45 na hali toka nipo sekondari miaka ya 80 wapo madarakani. Hawaongezeki umri wala hawastaafu, zaidi unaona ngozi inajikunja taratibu kama Mgabe. Hakuna mkufunzi wala wakurufunzi na hakuna kuelewa somo, hii ndiyo siri ya kuendelea kutawala Tanzania.

Mungu ibariki Tanzania.

kweli kabisa....yaani mimi najiona nazeeka sasa hivi lakini wao niliokuwa nawasikia kipindi hicho ndio kwanza wanazidi kuwa vijana....duhh
 
Only in Tanzania,

Kujifunza umuhim wa ushindani wa kibiashara haihitaji 'Waziri mkuu' aende Ulaya,

Inamaana asingeenda huko akaona, asingejua hilo,

Shame on him,
 
Back
Top Bottom