Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

ndio mana nimesema kwako linanishinda jambo 1 tu (uwoya vs janjaro)

haya sasa uko mbali unantisha,nikiwa around si tayari naugulia maumivu?

Next week naanza Gym nijae jae kdg niweze kukumudu ili ukisema fyeeee (nakupa banzi hiloo)
Hehehehe

Usinitishe..na gym yako lakini mabanzi yapo palepale..
 
Nawaweka kwenye group wanaume vitombi wa jf mkutane hukoo
wengine mna wake zenu na watoto kutwa kukuruka mkiukwaa muanze kuwasumbua loyal wives.tsk
 
Usione soo - Ishi stars
Kosa la marehemu - Uswahilini matola
Kazeze - OCG
Marehemu ameacha orodha - Jebi
Funga zipu yako - Dogorii
Mshkaji mmoja hivi - Joseline
Starehe - Ferouz
Msinitenge - Profesa Jay
Mgeni - TOT Band

I dedicated these songs to Members wa JF wanao pyu pyu pya pya bila kutumia kondomu

Msinitenge ni living proof.Hakuna utani mule.
 
Binafsi yangu siwezi ita mwanangu paul.
Babu yangu mzaa mama kazaa watoto wawili,joyce na paul. Joyce ndiye mama yangu ambaye mama ake joyce ni mchaga,huyu paul ambaye ni mjomba wangu mama yake ni mkamba wa kenya.

Mambo yanayopita kwa paul na tabia aliyonayo havirandani na paul wa dsm,ila sijawai shawishika kuwa na paul kwenye damu yangu.
Mm nna Kaka angu Anaitwa Paul hana hbr kusaidia home yy yupo bize na mke wake tu
 
Duh jf nikiboko mnanyaduana kimyakimya.... Mkiwa mna coment maushauri mgeni wajf anaweza kuwaona wamaana sanaa nawengine wanajidai eti kukufata pm ili wakushauri private mamaee
 
Ingawa uwiano wa maambukizi ya HIV inaonyesha wanawake ndio walioambukizwa zaidi kuliko wanaume, ila nimegundua wanaume wanacheza rafu sex sana.

Mwaka 2018 January nilkutana na mwanaume humu, tukakubaliana kuwa wapenzi, yeye akiishi Dodoma Mimi nikiwa Bukoba. Siku ya kwanza ku-sex naye, hakutaka kutumia kondom, nilimlazimisha atumie maana tulikuwa hatujapima, lakini aligomagoma mpaka tukaahirisha, ingawa alikuwa analalama usiku huo kumnyima, nikamwambia haina haja ya kulalama.

Asubuhi alienda kutafuta kondom akaja tukasex lakini katikati ya gemu nikashtukia anatoa kuwa inamchelewesha kumaliza, sikutaka kupinga ikabidi niache tu amalize.

Baada ya hapo niliumia sana kufanya mapenzi bila kondom na bila kujua hali ya mwenzangu.

Sikutaka kurudiana naye tena, hadi ikaisha miezi 3 nikaenda kupima nikajikuta nipo salama, nikampa sharti la yeye kuendelea na mimi ni kupima, akakataa mahusiano yakafa.

Mwaka 2019 Machi nilkutana na kaka mmoja humu wa Dar, akaniomba tuwe kwenye mahusiano, nikaenda Dar lakini cha ajabu tuli-sex bila kinga na hatukupima, nikamuachia Mungu, ila nikavunja mahusiano baada ya kugundua ana mahusiano na mwanamke mwingine wa humu tunayefahamiana.

Mwingine akaja PM nikamwelewa wa huko huko Dar, nikamfuata. Huyu tuliingia hotel, kisha chumbani. Nikauliza kama ana kondom akasema hana, nikamwambia inabidi tulale mzungu wa nne mpaka asubuhi tukapime, tukishajua hali zetu nipo radhi kukaa hapa hotelini wiki nzima.

Akakubali kesho yake tungepima, kumbe hiyo kesho akatoweka, hakutaka tuonane, nikarudi zangu mkoani.

Nilichojifunza wanaume wengi wa JF wame-risk maisha yao kuhusu HIV.

Nimewahi kumuuliza mwanaume mmoja humu wa JF kwa nini wanaume wengi mnakuwa na kondom mfukoni lakini inapofika kwenye sex hamtumii zile kondom?

Alichonijibu ni kuwa ni kweli Dada, kinachotokea ni kuwa unaweza ukawa na dhamira ya kutumia kondom lakini wakati mpo chumbani, uzuri wa kasura, umbile, chuchu na mapaja na hata huko nyuma pameumuka vizuri; ile dhamira ya kutumia kondom hutoweka, hujitoa kula nyama nyama kwa sababu hatafaidi uzuri alio uona.

Ndo maana siku hizi sitaki wanaume PM.

Wanaume wa JF take care, wengi muna shule kichwani lakini mnadharau sana matumizi ya kondom na kuchek afya zenu.
Hahaha, siku ile ilikuwa bahati mbaya, na nilivyorudi nazo hukuwepo tena hotelini hahaha
 
Kaka ukimwi haupo mitandaoni tu,hapo unapokaa kuna ukimwi pia,wanaume unaowaona mitandaoni ni hao hao unaokutana nao hapo mtaani kwako au barabarani au safarini

Na love doesnt consider distance,mtu anaweza akawa Tanzania akawa na mpenzi Japan

Na huu sio kwamba nilikuwa field nafanya utafiti,ni hali tu ilitokea ningekuwa field ningebainisha kati ya wangapi walitumia kondom na wangap hawakutumia
Hongera kwa kutoa jibu linaonesha busara na maadili ya mawasiliano.
 
Kwa uzoefu nilionao, sijawahi kukutana na dem mzuri humu jf.. wote wabovu..

Ila sijawala.. maana they weren't attracting
 
Back
Top Bottom