Nilibet nikawa masikini

Nilibet nikawa masikini

Nimetumia rasimali yangu kwenye kamari mpaka imenifilisi, najaribu kuacha nashindwa sijui nifanyaje?
Umeacha ufanye nini zaidi ya kuendelea kubet?

Unataka kuacha pombe unashindwa unatuliza ufanyaje cont kula mondee
 
Usikae na hela, ukipata bora ukopeshe watu, unaugonjwa wa kutunza hela sasa hakikisha USIKAE NA HELA
 
Tatizo siyo kuacha . Tatizo ni kumeneji mambo ..kamari ni kama biashara ya utafutaji madini....
 
Back
Top Bottom