Goku 255 JF-Expert Member Joined May 5, 2025 Posts 437 Reaction score 841 Mar 3, 2026 #1 Nimetumia rasimali yangu kwenye kamari mpaka imenifilisi, najaribu kuacha nashindwa sijui nifanyaje?
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,892 Reaction score 31,095 Mar 3, 2026 #2 πππtuko pamoja mpaka kufa
Niwaheri JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 3,481 Reaction score 5,357 Mar 3, 2026 #3 Hamna kitakachofanya uache zaidi ya wewe mwenyewe kuamua kuacha just say no jizuie
hagau JF-Expert Member Joined Dec 17, 2023 Posts 1,586 Reaction score 5,224 Mar 3, 2026 #4 Rasilimali kiasi gani Mkuu..
tpaul Platinum Member Joined Feb 3, 2008 Posts 25,832 Reaction score 25,138 Mar 3, 2026 #5 Waone wataalamu wa psychology mkuu ikiwa wewe mwenyewe umeshindwa kujizuia
Mstahiki Mea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 5,582 Reaction score 10,111 Mar 3, 2026 #6 Bodi ya michezo ya bahati nasibu nimuhimu iwe na hiki kitengo
Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 10,152 Reaction score 18,098 Mar 3, 2026 #7 Maamuzi ya kwanza ni wewe kabla ya kutafuta wachungaji na wanasaikolojia... Good lucky!
VERBOSE JF-Expert Member Joined Sep 12, 2022 Posts 8,170 Reaction score 12,795 Mar 3, 2026 #8 DR SANTOS said: πππtuko pamoja mpaka kufa Click to expand... Km Sigara ukianza kuacha ni mtiti sana
DR SANTOS said: πππtuko pamoja mpaka kufa Click to expand... Km Sigara ukianza kuacha ni mtiti sana
VERBOSE JF-Expert Member Joined Sep 12, 2022 Posts 8,170 Reaction score 12,795 Mar 3, 2026 #9 Niwaheri said: Hamna kitakachofanya uache zaidi ya wewe mwenyewe kuamua kuacha just say no jizuie Click to expand... Kua makini huyo mwamba anajisifu ni mtaalamu wa kupiga nyeto avatar zote za warembo wa JF kashazimwagia uji uji kwenye screen
Niwaheri said: Hamna kitakachofanya uache zaidi ya wewe mwenyewe kuamua kuacha just say no jizuie Click to expand... Kua makini huyo mwamba anajisifu ni mtaalamu wa kupiga nyeto avatar zote za warembo wa JF kashazimwagia uji uji kwenye screen
Goku 255 JF-Expert Member Joined May 5, 2025 Posts 437 Reaction score 841 Mar 3, 2026 Thread starter #10 hagau said: Rasilimali kiasi gani Mkuu.. Click to expand... pesa nyingi mdau
Goku 255 JF-Expert Member Joined May 5, 2025 Posts 437 Reaction score 841 Mar 3, 2026 Thread starter #11 VERBOSE said: Kua makini huyo mwamba anajisifu ni mtaalamu wa kupiga nyeto avatar zote za warembo wa JF kashazimwagia uji uji kwenye screen Click to expand... karb kweny kitengo mbaga jr atakusajili kuwa mwanachama
VERBOSE said: Kua makini huyo mwamba anajisifu ni mtaalamu wa kupiga nyeto avatar zote za warembo wa JF kashazimwagia uji uji kwenye screen Click to expand... karb kweny kitengo mbaga jr atakusajili kuwa mwanachama
Samia atosha tukutane2030 JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 17,168 Reaction score 48,681 Mar 3, 2026 #12 pole
KENGE 01 JF-Expert Member Joined Mar 12, 2021 Posts 1,769 Reaction score 4,389 Mar 3, 2026 #13 Suluhisho linakuja. App inayotoa mikeka kwa kutegemea AI, wanahitajika Watu 15 tu wa kuitest(Hakuna Malipo) Kama uko Tayari fwata hatua hizi 1.Join Google Group au tuma Email yako DM Testers Community Hub - Google Groups groups.google.com 2. Fungua Link na itakuelekeza Playstore, Download App tumia Sign in - Google Accounts Ukikwama weka email yako hapa tutaiongeza AI Bet Testers Drop your email below and we'll add you to the beta test! π― forms.gle
Suluhisho linakuja. App inayotoa mikeka kwa kutegemea AI, wanahitajika Watu 15 tu wa kuitest(Hakuna Malipo) Kama uko Tayari fwata hatua hizi 1.Join Google Group au tuma Email yako DM Testers Community Hub - Google Groups groups.google.com 2. Fungua Link na itakuelekeza Playstore, Download App tumia Sign in - Google Accounts Ukikwama weka email yako hapa tutaiongeza AI Bet Testers Drop your email below and we'll add you to the beta test! π― forms.gle
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 10,339 Reaction score 23,381 Mar 3, 2026 #14 KENGE 01 said: Suluhisho linakuja. App inayotoa mikeka kwa kutegemea AI, wanahitajika Watu 15 tu wa kuitest(Hakuna Malipo) Kama uko Tayari fwata hatua hizi 1.Join Google Group au tuma Email yako DM Testers Community Hub - Google Groups groups.google.com 2. Fungua Link na itakuelekeza Playstore, Download App tumia https://play.google.com/store/apps/details?id=com.alphatechlab.aibet Ukikwama weka email yako hapa tutaiongeza AI Bet Testers Drop your email below and we'll add you to the beta test! π― forms.gle Click to expand... ππ
KENGE 01 said: Suluhisho linakuja. App inayotoa mikeka kwa kutegemea AI, wanahitajika Watu 15 tu wa kuitest(Hakuna Malipo) Kama uko Tayari fwata hatua hizi 1.Join Google Group au tuma Email yako DM Testers Community Hub - Google Groups groups.google.com 2. Fungua Link na itakuelekeza Playstore, Download App tumia https://play.google.com/store/apps/details?id=com.alphatechlab.aibet Ukikwama weka email yako hapa tutaiongeza AI Bet Testers Drop your email below and we'll add you to the beta test! π― forms.gle Click to expand... ππ
VERBOSE JF-Expert Member Joined Sep 12, 2022 Posts 8,170 Reaction score 12,795 Mar 3, 2026 #15 Goku 255 said: karb kweny kitengo mbaga jr atakusajili kuwa mwanachama Click to expand... Mwambie Niwaheri sio mimi
Goku 255 said: karb kweny kitengo mbaga jr atakusajili kuwa mwanachama Click to expand... Mwambie Niwaheri sio mimi
Kanali_ JF-Expert Member Joined Nov 18, 2018 Posts 7,504 Reaction score 11,737 Mar 3, 2026 #16 Goku 255 said: Nimetumia rasimali yangu kwenye kamari mpaka imenifilisi, najaribu kuacha nashindwa sijui nifanyaje? Click to expand... Uliwahi kuwa tajiri!?
Goku 255 said: Nimetumia rasimali yangu kwenye kamari mpaka imenifilisi, najaribu kuacha nashindwa sijui nifanyaje? Click to expand... Uliwahi kuwa tajiri!?
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 58,972 Reaction score 69,352 Mar 3, 2026 #17 Gambler
comrade_kipepe JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 6,455 Reaction score 11,514 Mar 3, 2026 #18 Wenzako tunaweka 200, 300 ikizidi sana 500 mpaka 1000, sasa wewe unajikuta nani unaweka malaki, acha ile kwako
Wenzako tunaweka 200, 300 ikizidi sana 500 mpaka 1000, sasa wewe unajikuta nani unaweka malaki, acha ile kwako
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 46,068 Reaction score 126,673 Mar 3, 2026 #19 Haujawahi kushinda hata mara moja?
Goku 255 JF-Expert Member Joined May 5, 2025 Posts 437 Reaction score 841 Mar 3, 2026 Thread starter #20 min -me said: Haujawahi kushinda hata mara moja? Click to expand... nimeshinda ila kupotez ndio kwing
min -me said: Haujawahi kushinda hata mara moja? Click to expand... nimeshinda ila kupotez ndio kwing