Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,840
Hii ilikuwa 2015 Kipindi hicho nikiwa Kijana Masikini tu.
Picha linaanza nikiwa na washkaji katika pool table majira ya usiku. hapo mtaa umechangamka sio kitoto unaambiwa, katika stori wana wawili ikawa wanasimuliana kuhusu dada mmoja tumwite LAIMA.
Nitaficha baadhi ya maelezo kwa kuweka maelezo bandia maana ameolewa na mumewe ni mwalimu nahofia asije kuwepo humu akanidaka bila hatia, maana huyo mdada japo yupo mkoa wa mbali lakini hadi kesho huwa ananitafuta akijisikia anataka kucheka.
Baasi bwana muhuni mmoja ambae ndiyo ana ukaribu na Laima ika anamwongelea kuhusu umbo lake chibonge tako laini kama sponji nk nk. ila kuna mwamba akawa anaponda balaa kwamba demu gani, anasura mbovu nk nk.
Mimi baada ya kusikia ni chibonge na ana tako laini machale yakani cheza nikamuuliza yule anaemsifia tumwite Deo.
"Oya deo kwani kazi yenyewe inaishi wapi?"
Deo akanielekeza ilikuwa ni wilaya ya jirani yetu.
Nikamuuliza jina na data nyingine muonekano kazi na vingine vingi, Deo akanipa kila kitu kwani ananijua vizuri
Ninapotaka kumuwinda mwanamke kupitia simu ni lazima nimjue angalau juu juu.
Mwisho nikamwomba anipe namba za Laima nikazisevu.
Baasi bwana... baada ya muda kwenda nikaelekea home, ilikuwa mishale ya saa nne nilipofika nikamtex yule dada.
'Samahi Laima hadi sasa nahisi hali yangu haiko sawa hivyo kesho sitowahi kuja huko, kama unaweza kupata mteja utaziuza tu ila kama hutopata hadi zikaharibika tuteshea hiyo hasara'
Nikakutupa kitochi changu kitandani nikaendelea na mambo mengine, kidogo naskia ngelengenje. Nikaiendea simu haraka kufungua meseji inasema.
'Wewe nani'
MIMI 'Kim hapa kwani namba yangu hukusevu'
Nitajiita KIM kwenye hii stori yaani ufupisho wa Ki-jana M-asikini kwasababu Kipindi hiko ilikuwa kabla sijatoboa.
YEYE 'Mbona sikufahamu unamtaka Laima gani?'
Hapa sasa nikampigia.
YEYE 'haloo'
MIMI 'Naam Laima ni mimi hapa hali yangu haiko vizuri ndiyo maana nikakwambia hivyo'
Niliongea kwa kujikaza kaza kama vile nagugumia maumivu ya homa😂
YEYE 'Samahani kaka Mbona sikufahamu!'
MIMI 'Kwani wewe sio Laima?'
YEYE 'ni mimi'
MIMI 'Sasa mbona unasema unifahamu! Mimi ni Kim ambae unaniuzia nyanya'
YEYE. 'NYANYA??'
Hiyo yote ilikuwa ni kumzingua tu maana yeye anauza Ice cream shuleni.
MIMI 'Ndiyo kwani mbona unashangaa sana'
YEYE 'mimi siuzi nyanya'
MIMI 'kwani wewe si Laima!'
YEYE 'ndiyo ni Laima lakini siuzi nyanya'
MIMI 'Laima acha kunichoresha halafu mimi sipo katika mzaha ujue'
YEYE 'Ha! Nakuchoreshaje sasa huyo mtu siyo mimi'
MIMI 'Laima hiyo sauti ni wewe mwenyewe kwani mimi nimechanyikiwa?'
YEYE 'kwani huyo laima unaemzungumzia wewe anaishi wapi?'
MIMI 'Mtwara mjini'
YEYE 'hahaha! Sasa mimi nipo Newala'
MIMI 'Laima usiwe mpumbavu'
Nikakata simu.
Kidogo anatuma ujumbe.
'Wewe kaka itakuwa hiyo homa ndiyo inakusumbua angalia vizuri hizo namba'
Mimi nikala buyu.
Baasi bwana pakakucha nikawaza nikafanya usafi geto huku wazo likiwa ni leo nitamwingiaje yule dada.
Nikafanya kila kitu home na kuingia Road,
Wakati niko zangu mgahawani Sms hiyo.. kucheki Laima.
'Unaendeleaje na hali yako kaka, vipi ulithibitisha kwamba mimi siyo mtu ambae ulikuwa unamwitaji'
MIMI 'naendea vizuri kiasi, nitakupigia muda kidogo maana sasa nakula ili niende nikajicheki zahanati'
YEYE 'Sawa ugua pole'
MIMI 'asante'
Ni kama ladha ya supu na chapati iliongezeka hivi, nilifakamia huku moyoni nikisema tayaari.. akili yenyewe ilikuwa na kazi ya kuvuta picha tu ya anavyofanania huyo chibonge.
Nitaendelea kesho TAJIRI napumzika sasa.
kama nina baya semeni...
Picha linaanza nikiwa na washkaji katika pool table majira ya usiku. hapo mtaa umechangamka sio kitoto unaambiwa, katika stori wana wawili ikawa wanasimuliana kuhusu dada mmoja tumwite LAIMA.
Nitaficha baadhi ya maelezo kwa kuweka maelezo bandia maana ameolewa na mumewe ni mwalimu nahofia asije kuwepo humu akanidaka bila hatia, maana huyo mdada japo yupo mkoa wa mbali lakini hadi kesho huwa ananitafuta akijisikia anataka kucheka.
Baasi bwana muhuni mmoja ambae ndiyo ana ukaribu na Laima ika anamwongelea kuhusu umbo lake chibonge tako laini kama sponji nk nk. ila kuna mwamba akawa anaponda balaa kwamba demu gani, anasura mbovu nk nk.
Mimi baada ya kusikia ni chibonge na ana tako laini machale yakani cheza nikamuuliza yule anaemsifia tumwite Deo.
"Oya deo kwani kazi yenyewe inaishi wapi?"
Deo akanielekeza ilikuwa ni wilaya ya jirani yetu.
Nikamuuliza jina na data nyingine muonekano kazi na vingine vingi, Deo akanipa kila kitu kwani ananijua vizuri
Ninapotaka kumuwinda mwanamke kupitia simu ni lazima nimjue angalau juu juu.
Mwisho nikamwomba anipe namba za Laima nikazisevu.
Baasi bwana... baada ya muda kwenda nikaelekea home, ilikuwa mishale ya saa nne nilipofika nikamtex yule dada.
'Samahi Laima hadi sasa nahisi hali yangu haiko sawa hivyo kesho sitowahi kuja huko, kama unaweza kupata mteja utaziuza tu ila kama hutopata hadi zikaharibika tuteshea hiyo hasara'
Nikakutupa kitochi changu kitandani nikaendelea na mambo mengine, kidogo naskia ngelengenje. Nikaiendea simu haraka kufungua meseji inasema.
'Wewe nani'
MIMI 'Kim hapa kwani namba yangu hukusevu'
Nitajiita KIM kwenye hii stori yaani ufupisho wa Ki-jana M-asikini kwasababu Kipindi hiko ilikuwa kabla sijatoboa.
YEYE 'Mbona sikufahamu unamtaka Laima gani?'
Hapa sasa nikampigia.
YEYE 'haloo'
MIMI 'Naam Laima ni mimi hapa hali yangu haiko vizuri ndiyo maana nikakwambia hivyo'
Niliongea kwa kujikaza kaza kama vile nagugumia maumivu ya homa😂
YEYE 'Samahani kaka Mbona sikufahamu!'
MIMI 'Kwani wewe sio Laima?'
YEYE 'ni mimi'
MIMI 'Sasa mbona unasema unifahamu! Mimi ni Kim ambae unaniuzia nyanya'
YEYE. 'NYANYA??'
Hiyo yote ilikuwa ni kumzingua tu maana yeye anauza Ice cream shuleni.
MIMI 'Ndiyo kwani mbona unashangaa sana'
YEYE 'mimi siuzi nyanya'
MIMI 'kwani wewe si Laima!'
YEYE 'ndiyo ni Laima lakini siuzi nyanya'
MIMI 'Laima acha kunichoresha halafu mimi sipo katika mzaha ujue'
YEYE 'Ha! Nakuchoreshaje sasa huyo mtu siyo mimi'
MIMI 'Laima hiyo sauti ni wewe mwenyewe kwani mimi nimechanyikiwa?'
YEYE 'kwani huyo laima unaemzungumzia wewe anaishi wapi?'
MIMI 'Mtwara mjini'
YEYE 'hahaha! Sasa mimi nipo Newala'
MIMI 'Laima usiwe mpumbavu'
Nikakata simu.
Kidogo anatuma ujumbe.
'Wewe kaka itakuwa hiyo homa ndiyo inakusumbua angalia vizuri hizo namba'
Mimi nikala buyu.
Baasi bwana pakakucha nikawaza nikafanya usafi geto huku wazo likiwa ni leo nitamwingiaje yule dada.
Nikafanya kila kitu home na kuingia Road,
Wakati niko zangu mgahawani Sms hiyo.. kucheki Laima.
'Unaendeleaje na hali yako kaka, vipi ulithibitisha kwamba mimi siyo mtu ambae ulikuwa unamwitaji'
MIMI 'naendea vizuri kiasi, nitakupigia muda kidogo maana sasa nakula ili niende nikajicheki zahanati'
YEYE 'Sawa ugua pole'
MIMI 'asante'
Ni kama ladha ya supu na chapati iliongezeka hivi, nilifakamia huku moyoni nikisema tayaari.. akili yenyewe ilikuwa na kazi ya kuvuta picha tu ya anavyofanania huyo chibonge.
Nitaendelea kesho TAJIRI napumzika sasa.
kama nina baya semeni...