Niliahidi kumkopesha Ex, sijampa/sitompa namtesa tu

Niliahidi kumkopesha Ex, sijampa/sitompa namtesa tu

Uyo dada na yeye sijui ni shida ndo zimemzidi Sana mpaka anashindwa kutumia akili au ni Nini mi nkikuomba hela Mara moja ukiniambia utanipa siku flani ata iyo siku ikifika sikukumbushi na assume Kama usingekuwepo ningefanyaje Mimi huwezi kunichezea huu mchezo nna jeuri
Nyie ndo mnahongaga wanaume nyie
 
Hyo fanya wewe kaka.yeye alivyonipiga kibuti ilikua sawa eeeh..
Ukizembea wapi mpaka ukapigwa kibuti unatakiwa kuwa mjanja na kumsoma mpenz wako kabla haja fika atua ya kukutema umteme wewe
 
Mim nna Ego ya hal ya juu.huwa sirudiag demu hata ajilete vp...naweza hata ingia nae room na nisimfanye chochote.mi jeur mkuu ohooo....

Halaf nikwambie kitu..kumsahau mtu mliekua pa1 mnashare kila kitu had mswak ni kujidanganya..so ni kwel namkumbuka nayeye ananikumbuka vile vile
Wenye 'ego' hawajisemagi sema wee ni kajamba nani mchangamfu tu
 
Kuna huyu binti tulidumu kwa kama miaka mi3 hiv baada ya kumaliza chuo aliniachaga sababu nilikua sina hili wala lile.

Mimi nikiachana na mtu huwa siachani kwa shari hata kama yeye ndo kanikosea...huwa najaribu kum-keep closer

Tuliachana miaka kama 6 hivi imepita ila huwa tunachat, yeye ndo msumbufu kwenye events zake muhimu lazima anialike na huwa siendi. Na mimi nilivyo kauzu namtumiaga hadi picha za mademu zangu ambao ni wakali kuliko yeye mara7..yeye hajawai ongelea rlshnp status yake hata siku 1.

Sasa aliniomba pesa kama mkopo toka mwaka jana mwishoni wala sio hela nyingi.

Sasa mimi ni kwamba nilimuahidi nitampa na asitie shaka..huku rohoni nasema...@+-#$_?$...wewe nani akupe hela...basi kila akinichek nampa sababu huu ni mwezi wa pili toka aombe hela na anajua uwezo huo wa kumpa ninao in a sec...

Keshaongea saaana sjui ana matatzo anauguliwa na ndugu yake sijui nani huko...mimi sijali

Msimamo wangu ni kumzungusha wee ategemee nitampa ila simpi ng'oo

Vita ni vita mulaa...mi huwa kisasi changu hakiishi...ma x wangu wote wanakoma na mimi.

Strategy ni ile ile. Keeping them closer.
..let them witness nigga's succes..

Uzi tayar...(usinijudge)
Mbona kama unaumia bado? Mpaka unatuma mapicha mwans unakisasi bado moyoni na unampenda, mpaka unamzungusha bado unampenda.

Kifupi tu kisasi kizuri ni kumsaidia kama una uwezo bila kuonesha hisia zozote zile.

Kwa maelezo yako inaonesha bado haujakuwa kihisia.
 
Kuna huyu binti tulidumu kwa kama miaka mi3 hiv baada ya kumaliza chuo aliniachaga sababu nilikua sina hili wala lile.

Mimi nikiachana na mtu huwa siachani kwa shari hata kama yeye ndo kanikosea...huwa najaribu kum-keep closer

Tuliachana miaka kama 6 hivi imepita ila huwa tunachat, yeye ndo msumbufu kwenye events zake muhimu lazima anialike na huwa siendi. Na mimi nilivyo kauzu namtumiaga hadi picha za mademu zangu ambao ni wakali kuliko yeye mara7..yeye hajawai ongelea rlshnp status yake hata siku 1.

Sasa aliniomba pesa kama mkopo toka mwaka jana mwishoni wala sio hela nyingi.

Sasa mimi ni kwamba nilimuahidi nitampa na asitie shaka..huku rohoni nasema...@+-#$_?$...wewe nani akupe hela...basi kila akinichek nampa sababu huu ni mwezi wa pili toka aombe hela na anajua uwezo huo wa kumpa ninao in a sec...

Keshaongea saaana sjui ana matatzo anauguliwa na ndugu yake sijui nani huko...mimi sijali

Msimamo wangu ni kumzungusha wee ategemee nitampa ila simpi ng'oo

Vita ni vita mulaa...mi huwa kisasi changu hakiishi...ma x wangu wote wanakoma na mimi.

Strategy ni ile ile. Keeping them closer.
..let them witness nigga's succes..

Uzi tayar...(usinijudge)
Utoto! Pole!
 
Hiyo Vita Ni Vita mulaaa.....niyauko kwenu sigimbi!Kanda maalumu tuna Vhita Ni vhitaa muraaaaa.....we mrishaaa
 
Kuna huyu binti tulidumu kwa kama miaka mi3 hiv baada ya kumaliza chuo aliniachaga sababu nilikua sina hili wala lile.

Mimi nikiachana na mtu huwa siachani kwa shari hata kama yeye ndo kanikosea...huwa najaribu kum-keep closer

Tuliachana miaka kama 6 hivi imepita ila huwa tunachat, yeye ndo msumbufu kwenye events zake muhimu lazima anialike na huwa siendi. Na mimi nilivyo kauzu namtumiaga hadi picha za mademu zangu ambao ni wakali kuliko yeye mara7..yeye hajawai ongelea rlshnp status yake hata siku 1.

Sasa aliniomba pesa kama mkopo toka mwaka jana mwishoni wala sio hela nyingi.

Sasa mimi ni kwamba nilimuahidi nitampa na asitie shaka..huku rohoni nasema...@+-#$_?$...wewe nani akupe hela...basi kila akinichek nampa sababu huu ni mwezi wa pili toka aombe hela na anajua uwezo huo wa kumpa ninao in a sec...

Keshaongea saaana sjui ana matatzo anauguliwa na ndugu yake sijui nani huko...mimi sijali

Msimamo wangu ni kumzungusha wee ategemee nitampa ila simpi ng'oo

Vita ni vita mulaa...mi huwa kisasi changu hakiishi...ma x wangu wote wanakoma na mimi.

Strategy ni ile ile. Keeping them closer.
..let them witness nigga's succes..

Uzi tayar...(usinijudge)
Kama hauna issue naye ni bora ungemtolea nje tu kwa kumwambia ukweli maana usikute hawa mademu wanaomba mkopo, unawapa kumbe anakwenda kumtunza mwanamme mwingine hapa mjini huku akikucheka kuwa wewe ni fala tu.
 
Bado mnapendana nyie,ila kila mtu anajiona mwamba kwa mwengne.
 
Back
Top Bottom