Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 16,060
Kuna huyu binti tulidumu kwa kama miaka mi3 hiv baada ya kumaliza chuo aliniachaga sababu nilikua sina hili wala lile.
Mimi nikiachana na mtu huwa siachani kwa shari hata kama yeye ndo kanikosea...huwa najaribu kum-keep closer
Tuliachana miaka kama 6 hivi imepita ila huwa tunachat, yeye ndo msumbufu kwenye events zake muhimu lazima anialike na huwa siendi. Na mimi nilivyo kauzu namtumiaga hadi picha za mademu zangu ambao ni wakali kuliko yeye mara7..yeye hajawai ongelea rlshnp status yake hata siku 1.
Sasa aliniomba pesa kama mkopo toka mwaka jana mwishoni wala sio hela nyingi.
Sasa mimi ni kwamba nilimuahidi nitampa na asitie shaka..huku rohoni nasema...@+-#$_?$...wewe nani akupe hela...basi kila akinichek nampa sababu huu ni mwezi wa pili toka aombe hela na anajua uwezo huo wa kumpa ninao in a sec...
Keshaongea saaana sjui ana matatzo anauguliwa na ndugu yake sijui nani huko...mimi sijali
Msimamo wangu ni kumzungusha wee ategemee nitampa ila simpi ng'oo
Vita ni vita mulaa...mi huwa kisasi changu hakiishi...ma x wangu wote wanakoma na mimi.
Strategy ni ile ile. Keeping them closer.
..let them witness nigga's succes..
Uzi tayar...(usinijudge)
Mimi nikiachana na mtu huwa siachani kwa shari hata kama yeye ndo kanikosea...huwa najaribu kum-keep closer
Tuliachana miaka kama 6 hivi imepita ila huwa tunachat, yeye ndo msumbufu kwenye events zake muhimu lazima anialike na huwa siendi. Na mimi nilivyo kauzu namtumiaga hadi picha za mademu zangu ambao ni wakali kuliko yeye mara7..yeye hajawai ongelea rlshnp status yake hata siku 1.
Sasa aliniomba pesa kama mkopo toka mwaka jana mwishoni wala sio hela nyingi.
Sasa mimi ni kwamba nilimuahidi nitampa na asitie shaka..huku rohoni nasema...@+-#$_?$...wewe nani akupe hela...basi kila akinichek nampa sababu huu ni mwezi wa pili toka aombe hela na anajua uwezo huo wa kumpa ninao in a sec...
Keshaongea saaana sjui ana matatzo anauguliwa na ndugu yake sijui nani huko...mimi sijali
Msimamo wangu ni kumzungusha wee ategemee nitampa ila simpi ng'oo
Vita ni vita mulaa...mi huwa kisasi changu hakiishi...ma x wangu wote wanakoma na mimi.
Strategy ni ile ile. Keeping them closer.
..let them witness nigga's succes..
Uzi tayar...(usinijudge)
kaazi kweli kweli