Niliachwa kisa elfu sitini

Niliachwa kisa elfu sitini

usihofu hyo her kwako utampata aliye sahihi achana nae tapeli unamsaidia nae anatoa msaada sehemu nyngne pole usijute kukosea njia ya kujifunza
 
Habari wakuu,nimeona nishare nanyi yaliyonikuta mwenzenu, Nilikuwa na mchumba wangu niliyempenda sana ila yeya alinitamani kwa mujibu wake,nikiwa kama binti ninaejua umuhimu wa kusaidia wengine Mungu kanijalia roho ya utoaji,kwa wale waliokaribu nami wa kiume na wakike,na hii imenifanya niwe na marafiki wengi ambao tunasaidiana katika mambo mengi.

Ishu iko hapa,mchumba wangu huyu tumesaidiana katika mambo mengi ila sio ya kifedha kwa upande wake na sikumbuki kama aliwahi kunipa hata mia,nilimpenda sana na kumwombea kama mume wangu,kwa bahati mbaya sikujua kumbe nimetamaniwa.

Sikumoja alipoteza simu na hii ni kwa mujibu wake akiwa kwenye bodaboda

Kwa hiyo ndio ikawa hivyo,yaani inasikitisha sana
 
pole dada kuwa makini na hawa wavaa boxer wakijua una kipato na mtoaji ni shida.
 
Bora umemuacha, japo kakupa makovu moyoni lakini ni vyema kukimbia mapenzi yasiyo na future...
...sasa utulie basi sista, usiparamie mtu hadi akili ikae sawa, ukiweza fuata njia nzuri za kupata rafiki hadi uchumba na hatimaye ndoa..

njia nzur ni zip?
 
Habari wakuu,nimeona nishare nanyi yaliyonikuta mwenzenu, Nilikuwa na mchumba wangu niliyempenda sana ila yeya alinitamani kwa mujibu wake,nikiwa kama binti ninaejua umuhimu wa kusaidia wengine Mungu kanijalia roho ya utoaji,kwa wale waliokaribu nami wa kiume na wakike,na hii imenifanya niwe na marafiki wengi ambao tunasaidiana katika mambo mengi.

Ishu iko hapa,mchumba wangu huyu tumesaidiana katika mambo mengi ila sio ya kifedha kwa upande wake na sikumbuki kama aliwahi kunipa hata mia,nilimpenda sana na kumwombea kama mume wangu,kwa bahati mbaya sikujua kumbe nimetamaniwa.

Sikumoja alipoteza simu na hii ni kwa mujibu wake akiwa kwenye bodaboda

hebu epora ni pm tuone tunasaidiana vip mana mapenz ya cku hiz yapo kimaslah zaid na wanaume wengi ndio wamekua wapga mizinga
 
usihofu hyo her kwako utampata aliye sahihi achana nae tapeli unamsaidia nae anatoa msaada sehemu nyngne pole usijute kukosea njia ya kujifunza

Mwanzonu niliumia ila now niko poa,kilichoniuma zaidi eti nisimpigie wala kumtafuta
 
Habari wakuu,nimeona nishare nanyi yaliyonikuta mwenzenu, Nilikuwa na mchumba wangu niliyempenda sana ila yeya alinitamani kwa mujibu wake,nikiwa kama binti ninaejua umuhimu wa kusaidia wengine Mungu kanijalia roho ya utoaji,kwa wale waliokaribu nami wa kiume na wakike,na hii imenifanya niwe na marafiki wengi ambao tunasaidiana katika mambo mengi.

Ishu iko hapa,mchumba wangu huyu tumesaidiana katika mambo mengi ila sio ya kifedha kwa upande wake na sikumbuki kama aliwahi kunipa hata mia,nilimpenda sana na kumwombea kama mume wangu,kwa bahati mbaya sikujua kumbe nimetamaniwa.

Sikumoja alipoteza simu na hii ni kwa mujibu wake akiwa kwenye bodaboda

mbona hiyo ni pesa nyingi sana. mimi hata buku 2 napiga mtu chini.
 
Back
Top Bottom