Habari wakuu,nimeona nishare nanyi yaliyonikuta mwenzenu, Nilikuwa na mchumba wangu niliyempenda sana ila yeya alinitamani kwa mujibu wake,nikiwa kama binti ninaejua umuhimu wa kusaidia wengine Mungu kanijalia roho ya utoaji,kwa wale waliokaribu nami wa kiume na wakike,na hii imenifanya niwe na marafiki wengi ambao tunasaidiana katika mambo mengi.
Ishu iko hapa,mchumba wangu huyu tumesaidiana katika mambo mengi ila sio ya kifedha kwa upande wake na sikumbuki kama aliwahi kunipa hata mia,nilimpenda sana na kumwombea kama mume wangu,kwa bahati mbaya sikujua kumbe nimetamaniwa.
Sikumoja alipoteza simu na hii ni kwa mujibu wake akiwa kwenye bodaboda
Bora umemuacha, japo kakupa makovu moyoni lakini ni vyema kukimbia mapenzi yasiyo na future...
...sasa utulie basi sista, usiparamie mtu hadi akili ikae sawa, ukiweza fuata njia nzuri za kupata rafiki hadi uchumba na hatimaye ndoa..
Habari wakuu,nimeona nishare nanyi yaliyonikuta mwenzenu, Nilikuwa na mchumba wangu niliyempenda sana ila yeya alinitamani kwa mujibu wake,nikiwa kama binti ninaejua umuhimu wa kusaidia wengine Mungu kanijalia roho ya utoaji,kwa wale waliokaribu nami wa kiume na wakike,na hii imenifanya niwe na marafiki wengi ambao tunasaidiana katika mambo mengi.
Ishu iko hapa,mchumba wangu huyu tumesaidiana katika mambo mengi ila sio ya kifedha kwa upande wake na sikumbuki kama aliwahi kunipa hata mia,nilimpenda sana na kumwombea kama mume wangu,kwa bahati mbaya sikujua kumbe nimetamaniwa.
Sikumoja alipoteza simu na hii ni kwa mujibu wake akiwa kwenye bodaboda
njia nzur ni zip?
usihofu hyo her kwako utampata aliye sahihi achana nae tapeli unamsaidia nae anatoa msaada sehemu nyngne pole usijute kukosea njia ya kujifunza
ungezishusha mkuu bana mwenzio nizipatezipo very complicated, kizazi cha sasa kimeshindwa kuzifuata...
thanks mkuu now nipo makini kweli,nimeshajifunzapole dada kuwa makini na hawa wavaa boxer wakijua una kipato na mtoaji ni shida.
si ufanye homework,au unafikiri kila mtu anasoma kama ww?Shule zimefungwa saiv
Habari wakuu,nimeona nishare nanyi yaliyonikuta mwenzenu, Nilikuwa na mchumba wangu niliyempenda sana ila yeya alinitamani kwa mujibu wake,nikiwa kama binti ninaejua umuhimu wa kusaidia wengine Mungu kanijalia roho ya utoaji,kwa wale waliokaribu nami wa kiume na wakike,na hii imenifanya niwe na marafiki wengi ambao tunasaidiana katika mambo mengi.
Ishu iko hapa,mchumba wangu huyu tumesaidiana katika mambo mengi ila sio ya kifedha kwa upande wake na sikumbuki kama aliwahi kunipa hata mia,nilimpenda sana na kumwombea kama mume wangu,kwa bahati mbaya sikujua kumbe nimetamaniwa.
Sikumoja alipoteza simu na hii ni kwa mujibu wake akiwa kwenye bodaboda
watch out part 2.