Sawa mkuu ngoja niipakue kwa kua umesema ni kali japo naonaga kama wakorea huwa ni wachovu kwenye ulingo wa movie🤔Kwa Season 1.
Nikutoe hofu hiyo sio ya wakorea.Sawa mkuu ngoja niipakue kwa kua umesema ni kali japo naonaga kama wakorea huwa ni wachovu kwenye ulingo wa movie![]()
Hizi si ndizo zile za kusoma subtitle wakati wa kuangalia?Kwa Season 1.