mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,282
- 6,162
mm kama sms kama hizo huwa nakaa kama nusu saa hivi sijibu baada ya hapo nampigia simu alafu naanza kumweleza matatizo yy mwenyewe ataogopa kunipiga kirungu
Naona mpiga penati akijiandaa kuachia shuti!!Wakubwa tupo sambamba hapaView attachment 775788
mjini mipango mzee ukilegeza wanakufilisi hao viumbe
Asante sana mok....Haha hata mimi nakupenda sana anna
hatari sana...hahaaNaona mpiga penati akijiandaa kuachia shuti!!
Uoga nayo ni akili dada yanguhivi wanaume wako wapi? kitu kidogo hata hajasema unaogopa? wavulana mna shida
ahaa unaotaNionyeshe wapi nimeogopa? Isije ikawa ni wewe ulie tuma hii msg![]()
![]()
![]()
Wafu na wazikane![]()
ndio mkuu""hahaaMkuu unataka kujua kifwatacho itv?![]()