Nikuambie kitu?

Nikuambie kitu?

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,937
Wakubwa tupo sambamba hapa
IMG_20180513_081128.jpg
 
zima simu toa line
vunja simu kisha vunja na line
Haha ndio huwa unafanyaga hivyo? Sa si nibora kumpa tu maana hiyo pesa utakayo nunulia simu nyingine ungeweza save hata robotatu yake!
 
Haha ndio huwa unafanyaga hivyo? Sa si nibora kumpa tu maana hiyo pesa utakayo nunulia simu nyingine ungeweza save hata robotatu yake!
simu nayotumia bei yake unaijua ?
huyo mwanamke kuniomba hela ataona aibu
 
simu nayotumia bei yake unaijua ?
huyo mwanamke kuniomba hela ataona aibu
Haha hata kama ni itel zile za minada (20000) umsikilize kwanza
 
Back
Top Bottom