Kirungu na mvua hiiiWakubwa tupo sambamba hapaView attachment 775788
Andaa rada unase hilo kombora mkuuWakubwa tupo sambamba hapaView attachment 775788
AiseeWakubwa tupo sambamba hapaView attachment 775788
simu nayotumia bei yake unaijua ?Haha ndio huwa unafanyaga hivyo? Sa si nibora kumpa tu maana hiyo pesa utakayo nunulia simu nyingine ungeweza save hata robotatu yake!![]()
zima simu toa line
vunja simu kisha vunja na line
unanua vipi simu 20000 hela yote hiyoHaha hata kama ni itel zile za minada (20000) umsikilize kwanza
hata nchi aiangamize tuAchome ofisi za kampuni ya simu, mnara achome na wizara ya mawasiliano.