Unalipa kila mwezi Tsh150,000 au kodi ya mwezi ni Tsh5,000,,pole sana,kwa ushauri ungesema uko wapi ili wenyeji wakufuate wajue kama una sifa ya kukopa
Mwenye nyumba ananidai kodi jamani na hela sina kwa sasa kuna jamaa nlimukopesha nae mambo hayajakaa vzr. Naomben ndugu zangu mnikopeshe laki na nusu ntarudisha ijumaa ya wiki lijalo
Pole sana ila nikushauri tu angalia mara mbili uhusiano wako na mwenye nyumba, haiwezekani ashindwe kukuvumilia siku chache(hata mwezi). Kama tatizo sio wewe basi huyo jamaa atakuwa sio mtu mzuri. Laki na nusu ni ngumu kidogo kupata nakushauri utafute hata 50 tu umpe na umuomba asubiri upate hela.