Niko njiapanda Sijielewi Jamani


Pamoja ya kuwa sio ushauri wa maana! kwa sasa lakini naamini huyo Leah ungekuwa umemmega, wala asingekusumbua akili yako. roho inakuuma kwa kukupotezea muda wako, pesa zako ulizokuwa unajibana kwa kumtimizia mahitaji yeye.

Lakini mkuu hawa viumbe maadam bado unaivuta pumzi ya m/mungu na mishemishe za kupata pesa ziko palepale, hawa hamna kitu, atatokea mwenye mapenzi ya kweli kuliko huyo Leah wako.
Piga kimya na namba yake ifute kabisa, yaani mpotezee, mpende ulienae na muonyeshe mapenzi ya kweli Leah hakuwa riziki yako mkuu!
 
Hii ndio tabu ya mapenzi ya ukubwani ungekuwa umecheza kombolela hawa viumbe wasingekusumbua kabisa
 

Mkuu Asante,nimekusoma.Signature yako pia imenifundisha kitu.Okay huyu hanipendi nisimfuate .Je huyu niliyenaye ambaye simpendi kivile lakini yeye ananipenda sana? Wasiwasi wangu katika ndo sitakuwa fair kwake in long term ,kwa mwanzoni naweza ku pretend
 

Alafu naona kama umeathirika kisaikolojia?
 
Kwani Leah ameshaolewa au bado?Nataka nitoe ushauri ila nijibu kwanza.
 

Mkuu Michael,
Nimecheka sana baada ya kusoma post yako.okay,may be kwa sababu sijamega.Kutafuta Pesa-ishu ya msingi sana,ila namba yake kwenye simu haipo ila ipo kichwani.Kuonyesha mapenzi ya kweli wakati hakuna ukweli hiyo nayo ni challenge nyingine bana Scofild.
 

Unapretend and u still having her na kumake love nae
Mkuu mbona unajiumiza sana kufanya kitu ambacho hukitaki
Hebu fanya kama mwanaume ambaye anatakiwa kuwa in love na mwanamke na onyesha kuwa unajali hisia za mwenzako
Kwa nini kujitesa wakati u can make it kaka
Umeshajua kuwa ulitoswa na Leah na umepmapata mtu mwingine anayekupenda
Jifunze kupenda na jifunze kumpenda huyu uliye nae na jifunze taratibu kuyarudisha mapenzi kwake na hata wakati uko nae muone kama malaika aliyetuma kuja kurudisha upendo uliopotea na kuponya jeraha ulilolipata la kukimbiwa na Leah
 
Hii ndio tabu ya mapenzi ya ukubwani ungekuwa umecheza kombolela hawa viumbe wasingekusumbua kabisa

Huyu naona alikuwa gate kali hata hajachungulia dada zake walivyokuwa wanaoga, ndio maana inamtouch kuachwa, We kinega bwana gonga mbili tatu mwenyewe utaona "kumbe na ya Leah ingekuwa hivi tu" gonga mahousegirl alafu utanambia
 
Alafu mpaka mida hii ushukuru tunakupa ushauri wanaume watupu ngoja waje wale kina naniiii.....? utaona ushauri wao fyongooooo! wamekimbia kwa kuwa wanajua mwanamke mwenzao kakutenda.
 

Mr Rocky,

Really,Great thanks.KUJIFUNZA-Another terminology,wewe unaweza kujifunza kupenda?
 
Alafu mpaka mida hii ushukuru tunakupa ushauri wanaume watupu ngoja waje wale kina naniiii.....? utaona ushauri wao fyongooooo! wamekimbia kwa kuwa wanajua mwanamke mwenzao kakutenda.

Mkuu Michael,

Thanks.Ila natamani niwasikie na wao wanasemaje.
 
Mr Rocky,

Really,Great thanks.KUJIFUNZA-Another terminology,wewe unaweza kujifunza kupenda?

I can why not mkuu
Yaani ninachomaanisha msahau Leah taratibu na anza kumuona huyo uliye nae mbadala wa Leah na yapende yale anayoyafanya japo hayafanani na yale ya Leah ila yapende na mpe nafasi ya kukuonyesha upendo wake kwako
Mpe nafasi ya kuchez ana hisia zako
Mpe nafasi ya kukusahaulisha machungu
funguka kwake mwambie wazi hisia zako ziliko na mpe nafasi ya kukurudisha kwenye ulimwengu wenu wawili na sio ulimwengu wa watatu yaani wewe na yeye na Leah
Mpe nafasi ya kuonyesha upendo wake kwako kwa njia yoyote na mjali na yeye mpe nafasi ya kukujali
Usiruhusu lolote kuwepo kati yenu na usimpe nafasi Leah wakati wowote katika mawazo yako
 
huyo leah ameumbwa kwa dhahabu na almasi? Kwa nini unang'ang'ania mtu asiyekupenda? Kwa nini unaanza mahusiano mapya wakati umeng'ang'ania past?

Unatakiwa u-learn the hard way, acha huyo binti ulienae akuache kwa kutompa mapenzi ipasavyo ndipo utajua umuhimu wake, ndipo utakapomsahau leah!

Kwa ufupi leah si wako, free your mind from leah! Unaweza kufanya hivyo ukiamua kwa dhati, la sivyo huwezi kuwa na furaha kwenye mapenzi.

Pia jiulize kwa nini upo na huyo binti? Malengo ni nini? Upo nae kwa vile unampenda au kwa vile leah amekuacha nawe unahitaji mtu? Vilevile jitambue wewe ni nani, na una thamani gani!
 
 
Hii ndio tabu ya mapenzi ya ukubwani ungekuwa umecheza kombolela hawa viumbe wasingekusumbua kabisa

Mkuu roby2006;
Hapo kwa Leah ndo mi nilikwama bana,naamini haikua ukubwani bana,Second year sio mbaya
 
ndugu yangu sio lazima kila unaeokota nae kuni ....uzoe nae majivu..!!!!..
 
Umejiwekea tu na unalazimisha tu kwamba unampenda sana Leah,Leah,Leah!

Ungeambiwa kafa ,ungemfuata kaburini? Assume hayupo sasa na anza kuishi maisha,ondoka ndotoni!

Unaniumiza unamtesa uliyenaye sasa,mwache dada wa watu....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…