Niko Njia Panda Nahitaji mawazo yenu

Niko Njia Panda Nahitaji mawazo yenu

estlyjonathan

Member
Joined
May 26, 2016
Posts
84
Reaction score
122
Nafanya kazi sehemu flani, nilikutana na huyu kaka kazini ni mtu anayenijali alishawahi kunisaidia kama pesa n.k hakuwahi kunitamkia kama ananipenda ila kuna vimaswali huwa ananiuliza kama hivi, (miaka ndo inaenda hivyo) hili swali bado sijaelewa huwa kamaanisha nini tulishawahi kupanga tutoke out lakini ilishindikana baada ya miaka kwenda ikanibidi nimtoe mimi siku io ilikuwa siku nzuri alifurahia sana na akuamini kama ni mimi ningekuwa na ujasiri huo...... mpaka leo ajawahi kuniambia chochote ila dalili za kunipenda kama zipo hivi ila ninachompendea huyu kaka ni ananijali sana pindi ninapokuwa na shida na kwa upande wa mahusiano alishaniambia kuwa hayuko na mtu yani hata kile anachokifanya kuhusu maendeleo yake ananishirikisha...... hivi je huyu mtu ananipenda au?
kama yuko hapa afunguke
 
hizo ni dalili za kuwa pana pendo la dhati na la kweli, cha kukushauri jiongeze ukiona kaa kimya sna na muda unakwenda kweli kumbukamuda ni mali
 
Si umuulize mwenyewe. Jivike ujasiri na kama unampenda muwekee mitego wanaume uwa haturuki au siku mtanie kuwa umepata mpenzi uone atakavyoreact ila baade mwambie unamtania ila utakuwa umepata jibu kama anakupenda ama lah
 
Moyo wa mtu ni giza nene, kuna vitu viwili vya kufanyika :-
1. Jilipue umwambie unavyojisikia /unachohitaji.
2. Msubirie atakapokuwa tayari akwambie, maisha yana "risks" nyingi sana, tafuta "risks" za kuchukuwa.
 
Hakuna mwenye jibu kamili ila ni yeye tu... Hata mimi nina tabia ya kumjali mtu kwa makusudi tuu hata kama simpendi, hii huwa inasaidia siku ukiwa mpweke,
 
Back
Top Bottom