mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Wana Jamvi... Namuomba raisi Magufuli awaondoe wenzetu SA. Leo asubuhi wa SA wanetangaza kuwa walengwa wa kupigwa Ni wa Tanzania.. jamani nchi yetu ni Donour country kwanini wasirudishwe raisi wetu?
Kuna video imewekwa humu kwenye thread furani ya raisi buhari kutuma ndege SA, nimeiangalia huku mikono ikiwa kichwani huku ninatetemeka kwa maumivu... Jamani sisi Ni ndugu kwanini tufanyiane hivi... Eee Buhari mtukufu wapeleke hata Nigeria sisi Ni ndugu jamani. Mtu kuponda kichwa bila kosa mpaka mauti jamani huu sio utu, huu sio uafrica
Jamani nalia mimi
Kuna video imewekwa humu kwenye thread furani ya raisi buhari kutuma ndege SA, nimeiangalia huku mikono ikiwa kichwani huku ninatetemeka kwa maumivu... Jamani sisi Ni ndugu kwanini tufanyiane hivi... Eee Buhari mtukufu wapeleke hata Nigeria sisi Ni ndugu jamani. Mtu kuponda kichwa bila kosa mpaka mauti jamani huu sio utu, huu sio uafrica
Jamani nalia mimi