kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,608
- 6,640
Huna hiyo pesa sijasoma yote ila huna hiyo hela, utajiuliza why nahoji? Simple tu my instinct tells me. Usitafute umaarufu wa kijinga mzee.Nimezaliwa katikati ya miaka ya 90 hospitali moja kubwa hapa nchini kwa maana hiyo kwa sasa niko 20's na approach 30 sasa ila kikubwa niko na 50 milion of money kwenye account ya bank moja hapa nchini bado kwenye bank zingine ninazo mipunga mingine ya kutosha kwasababu ya discipline yangu ya pesa japo sijaoa na sina mpango huo
Je wewe mwenzangu kwa huo umri wako umesave shilingi ngapi? Au wewe ni full Bata? Kwa umri wako mpaka sasa unahaha na shilingi 10000 huo ni ujinga na ukichaa au umesave umbea,majungu na fitina? Pambana.
"Jamii forum sie wengine ni platform ya kuondoa stress na kujoin na wana! Mimi ni introvert si mtu ku interact na watu" simu ndiyo mshikaji wangu