Injinia nikki mbishi ndio mwenye iq kubwa kuliko nikki wa pili
Masai Dada na wewe unafuatilia hiphopnikki mbishi ana tatizo moja
anafanya hipop ya Kibifu muda wote
hasifii mapenzi,mazingira wala pesa
yaani mara nyingi ana mlenga mtu fulan alafu pia anaogopa kuonekana yupo chini ila sasa ndo kasema mziki haumlip
ana akili na kipaji lakini hakujaribu mengi katika huo huo mziki wa hipop