Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,062
- 3,280
Maswali unayoulizwa unajibu tofauti kabisa .
Umeshindwa kuitetea HipHop .
Umeshindwa kukiri HipHop unayoifanya Si Commercial .
Nilichikiona mm ni hiki
Una Stress ya kimzikii ,ulitamani kupata mafanikio makubwa kwnye Game kuliko ulivyotarajia .
Jipange Brother . / Kama unajipaji cha kufanya HipHop .. ww fanya .. si lazina Kufanikiwa kupitia mziki .
Imba as Kuentertain ... acha kutegemea Mziki tu ,si lazima wote mfanikiwe kwnye game moja Kama Diamond .
Muangalie
Nas pamoja Lupe Fiesco .
Wanimba as Kipajo kufight HipHop pia isife
Mwana HipHip hakimbii game hata siku moja
Umeshindwa kuitetea HipHop .
Umeshindwa kukiri HipHop unayoifanya Si Commercial .
Nilichikiona mm ni hiki
Una Stress ya kimzikii ,ulitamani kupata mafanikio makubwa kwnye Game kuliko ulivyotarajia .
Jipange Brother . / Kama unajipaji cha kufanya HipHop .. ww fanya .. si lazina Kufanikiwa kupitia mziki .
Imba as Kuentertain ... acha kutegemea Mziki tu ,si lazima wote mfanikiwe kwnye game moja Kama Diamond .
Muangalie
Nas pamoja Lupe Fiesco .
Wanimba as Kipajo kufight HipHop pia isife
Mwana HipHip hakimbii game hata siku moja