Nikki Mbishi Ana IQ Ya Kipekee

Nikki Mbishi Ana IQ Ya Kipekee

Uncle Yoso

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
377
Reaction score
262
Nikki mbishi A.k.a Unju Huyu Jamaa nimeanza kusikiliza nyimbo zake long sana is very wise rapper na ile clue yao ya tamaduni muziki hawa majamaa wanajua

Nimefuatilia interview aliyofanyiwa na wasafi tv kipindi cha Bartender Na mtangazaji Jonijooo nikagundua huyu jamaa mbali na kuwa rapper kumbe alisoma Computer Engeneering

Maswali aliyoulizwa na alivyokuwa anayajibu ilinidhihirshia kuwa huyu jamaa Ana IQ ya pekee mno. Swali Kwanini media wasim promote huyu jamaa ki mziki maana anajua sana tatizo media zinam felisha huyu jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikki mbishi A.k.a Unju Huyu Jamaa nimeanza kusikiliza nyimbo zake long sana is very wise rapper na ile clue yao ya tamaduni muziki hawa majamaa wanajua

Nimefuatilia interview aliyofanyiwa na wasafi tv kipindi cha Bartender Na mtangazaji Jonijooo nikagundua huyu jamaa mbali na kuwa rapper kumbe alisoma Computer Engeneering

Maswali aliyoulizwa na alivyokuwa anayajibu ilinidhihirshia kuwa huyu jamaa Ana IQ ya pekee mno. Swali Kwanini media wasim promote huyu jamaa ki mziki maana anajua sana tatizo media zinam felisha huyu jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

media za bongo hazitaki vitu "vigumu"

ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom