bifu ya nikki mbish naweusi

bifu ya nikki mbish naweusi

Analogia Malenga

Platinum Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,833
Nimekuwa nafuatilia mziki kwa muda mrefu. hivi sasa namuona huyu msanii nikk mbish au baba malcom, analeta bifu zisizo na msingi.alianza kumponda nakki wa pili ktk wimbo wa punchi kwenye line, amemponda bonta ktk track ya undisputed. alivyohojiwa akasema anawachallenge! nikadhani ni kweli. ktk mixtape ya underground legendary amesema "namponda conscious mc, bonta...." na hii ni challenge? ktk mixtape hiyohiyo track inayoitwa mr dream, kamtaja tena nikki wa pili. weusi wapo kimya ila inaonyesha wazi kuwa wanachukizwa na hizi dis. sasa ninachojiuliza, huyu nikki mbishi kama anapenda challenges mbona hakuwajibu kamba 2 kamba waliopenda kujibizana nao tena waliwatukana sana kipindi yuko lunduno? anakomaa na weusi. na mashabiki wapo tu hawamchani jamaa anavyoenda hovyo. jamaa kimsingi ana uwezo mzuri wa kuandika. lakini mimi nahate dis za kutajana majina. kama anaponda angalau atumie fasihi kubwa kama kina uno wanavyofanya.amani itawale
 
nikki hawez akabifu na wale mabwamdogo kimashairi mexicana yani wale kufreestyli wanadhan wanajua kila kitu!..kwa iyo akatafuta calibar yake kaona ni weuc!..ishu ni kua weusi washatengeneza jina kubwa kibiashara kwa iyo hawawez wakakurupukia battle inayoweza waaribia!..teknikally mbishi ni zaidi ya bonta maili nyingi
 
Gwandumi, hiyo kitu uko sawa but kutajana majina katika mashairi mi naona ufara, nenda kamsikilize uno, anaponda kwa fasihi kubwa. But huyu niki ni ful kutaja majina. What this?. Battle ni kujibizana sio unasema peke yako, mwisho wa siku wanafilisika kimashairi atabaki kutaja majina tu. The worst thing ever. Rado yuko wapi? Mexican wako wapi? Hizo bifu za kutajana majina ktk track co issue.
 
huu mwanga,mweusi huwezi wanga-uno!..
Niki mbishi anaonekana ana tempa sana inabidi watu wake wa karibu wamwambie...afu kuna kitu kinaitwa versatility ambacho emcee inabidi awe nacho yaani kuwa na mitindo tofauti ya mitambao na uandishi!.na km hip hop lazma kuwe na emcee walio tofauti ktk styli na uandishi kutokana na utofauti wa mazngira tunayokulia,tokea ama harakati tu za kimaisha...ingawa kila muzik unakanuni zake za kiuandishi nk..kwa maana iyo nadhani niki mbishi bado hajatambua utofauti wa kimazngira..yani anataka km bunako aandike km ye how? ..kutaja majina inategemea unataja vipi..inaweza kua ktk hali ya punchline tu na ktk hali ya kuchallange,shout out,compliment!.afu kuna ile ya kutaja moja kwa moja ambayo hutokana na personal issues...sasa nadhan kuna personal ishu kati ya niki na weus sijajua bado
 
Back
Top Bottom