Nikki Haley: ''Marekani ikiamua kujilinda, North Korea itaangamia''

Ze kokuyo wewe kwa upande wako unamaoni gani, mim toka nimepata akili na kujua propaganda na world political economy, marekan amekuwa akitumia propaganda zaid kwa russia na hata kutishiana na kuwekeana vikwazo miaka nenda rudi, lakin ajawah kuingia kijesh had leo, na kama kutakuwa na mgongano wa masirah mahali kama syria lazima watatute njia ya mazungumzo ili isije kuwa balaaa.

Lakin nchi zote ambazo US amekuwa na uwezo nazo na anajua hata jiwe haliwez kusa aridh yao au maslah yao atavamia na majadiliano yanafuta badae, naamin hili utakuwa na mifano hai mingi sana. Lakin leo NK US anaitreet kama Russia kwa kuweka vikwazo kila kukicha maana yake awez kuingia.
Mtazamo wangu hapo kwamba US anatafuta njia ya kuficha haibu ya kauli zake na kutaka kuaminisha dunia kuwa anaweza fanya hivyo huku nafsi yake imejawa na uwoga mkubwa, na pia kuweza kulinda soko lake la siraha ambazo ni ghari sana na zinaonekana hazina kitu. Mataifa mengi yataanza nunua siraha za NK huko mbele maana ameweza kulihakikishia dunia kuwa yupo vizur na hana gharama maana kaweza kumudu kilakitu hata mbele ya vikwazo (low running cost, or cheap running cost)

Pia bwana @koyuko unajua kuwa ukichukua gdp ya china na us interm of PPP ( purchasing power parity) bas china anakuwa na Gdp kubwa hii unajua inamaanisha nin mkuuu?
Me maoni yangu ni kama ifuatavyo,

Kwanza Marekani sidhani kama atakua mjinga kuanzisha vita na Urusi hata siku moja,SIDHANI.

Na si kweli kwamba eti Marekani nchi zote zenye uwezo nazo anashindwa kuzivamia,mfano mzuri ni Iran. Kumbuka Marekani sio mjinga anacheza michezo yake kwa akili kubwa sana.Hizo nchi zenyewe hasimu wa Marekani, marekani anafaidika nazo. Kivipi
Kwanza,
Kibiashara
Marekani amekua akiuza silaha nyingi sana za mabilioni ya shilingi mashariki ya kati kwa mahasimu wa Iran..Anatumia mwanya hyo kuifanya Iran ionekane tishio kwa nchi hizo ili tu kukuza biashara yake ya silaha. Mfano, tumeona miezi michache iliyopita Marekani ilisaini mikataba mbalimbali ya kijeshi ikiwa ni mikubwa haijawahi kutokea na Saudia kuwauzia silaha za dola bilioni mia tatu. Saudia ananunua masilaha yote hayo ili tu ajilinde dhidi ya Iran. Kumbuka Marekani ilishamuonya hata Israel kuhusu kuvamia Iran na walishamuambia kabisa ukirusha kombora lolote kwenda Iran tutalitungua.
Pia kumbuka biashara kubwa sana ya silaha ipo hapo middle east na Asia. Hilo la kwanza.
a6dba3cb7ce1330df8f1b957718be017.jpg
278f10a6f63654681b3ef6b22d6d87ef.jpg
49cdb92b5b0c45ea271679cd1c9439a0.jpg


Pili,
Kiusalama
Kumbuka Marekani kafanikiwa kutandaza rada zake sehemu nyingi hasa huko Ulaya kwa kisingizio cha makombora ya Iran. Juzijuzi hapa Putun alikua analalamika kuhusu Marekani kuweka rada na mitambo yake ya kutungulia makombora Romania,Poland kwa kisingizio cha vitisho vya Iran.Hiyo yote ni kutaka kuzizunguka Urusi na China ili kuzuia makombora yao kama ikitokea vita kati yao, yaaani makombora ya wenzake yasifike kwake ila yake yafike kwao.





Kama nikivyokuelezea kwa Iran na NK ni hivyohivyo sema kwa NK ipo tofauti kidogo maana NK karibu anakaribia kupata uwezo wa kupiga baadhi ya miji ya Marekani. Japokua Marekani anafaidika pia na mgogoro huu lakini pia anaumiza kichwa maaana na yeye hayuko salama.

Kwa ishu ya NK nayo naweza kuiweka makundi kama hayo juu.

Kiusalama

Kumbuka maeneo ya mashariki, magharibi, kaskazini kote Marekani ameshafanikiwa kuweka rada zake (kuchunguza nini kinaendelea ndani ya Urusi na China) na mitambo yake ya makombora, bado kusini. Na tumeona kupitia NK ameshafanikiwa kuanza kuweka hiyi mitambo mfano THAAD,kumbuka rada za THAAD zinaweza kuona hadi ndani ya China hivyo kua rahisi kwa Marekani kuichunguza. Bado tunasikia Japan nae anataka kununua mitambo zaidi toka Marekani ya kujilinda.

994082b14471992e091183491a5ab242.jpg
Angalia rada za Marekani zilivyowazunguka Urusi na China pande zote kasoro upande wa kusini
c132623bea14f5893a6a07f53669d9b8.jpg
47b69caf973e35491716e9e7e3bb4113.jpg


Biashara ya silaha

Kumbuka moja ya wanunuzi wakubwa wa silaha za Marekani ni South Korea ili kujilinda na NK. Na hivi juzi tumemsikia Trump akiwahimiza SK na Japan wanunue zaidi silaha za Marekani kujilinda dhidi ya NK
885f6a0effa79f18eeb591c90351b814.jpg


Na cha mwisho GDP na PPP ni vitu viwili tofauti.
Nalendwa izzo nankumene GoLang
 
Watu wanamchukulia poa mmarekani cz tokea ile vita ya ya pili aangushe lile nucke bomb kule Hiroshima hakuwahi tena kutumia silaha za maangamizi kwa nchi nyingine kulingana na mikataba ya umoja wa mataifa kupiga marufuku silaha na nyuklia

Hivyo vijana wengi wa leo hawajui vita ya nyuklia marekani yupo vipi cz hajawahi kuonyesha makeke yake tokea world war 2

Lakini nawaambia ipo siku uvumilivu utamshinda na ndio mtaelewa madhara ya silaha za nyuklia ni nini. Na siku huyo ni ile North korea atakapo dondosha kiholela bomu lake ndani ya ardhi ya washirika wa marekani au ndani ya marekani kwenyewe

Yaani mmarekani na washirika wake msione wamekaa kizembe ila inatafutwa sababu tu na sababu yenyewe ni dam yao imwagike kizembe hapo ndio mtashuhudia moto wake

Mmarekani huwa hatanii hata kidogo na dunia haitowahi shuhudia kweli kipigo atakachokula huyu mtoto

Kitakachofanyika ni shambulio zito la kushtukiza la silaha za nyulia ambalo litakuwa ni kali na huyo mkorea kwa kichapo cha kushtukiza atakachokipata hatopata hata mda wa kushika silaha zake cz vituo vyake vyote vya nuck vitakuwa wimeshaharibiwa vibaya
Acha kuwa mtumwa wa akili kwa marekani, ukiongelea siraha za nyuklia sio marekani tu nchi yoyote yenye siraha za nyuklia sio yakuibeza na marekani analijua hilo kuwa NK wanazo hizo siraha ndio maana inakuwa ngumu kuanzisha vita bila kujipanga sababu anajua madhara yake..
 
Rocket man will be met with Fury and Fire the world has never seen before.. U.S.A haina ujinga will destroy NK.. Wait & see
 
Me maoni yangu ni kama ifuatavyo,

Kwanza Marekani sidhani kama atakua mjinga kuanzisha vita na Urusi hata siku moja,SIDHANI.

Na si kweli kwamba eti Marekani nchi zote zenye uwezo nazo anashindwa kuzivamia,mfano mzuri ni Iran. Kumbuka Marekani sio mjinga anacheza michezo yake kwa akili kubwa sana.Hizo nchi zenyewe hasimu wa Marekani, marekani anafaidika nazo. Kivipi
Kwanza,
Kibiashara
Marekani amekua akiuza silaha nyingi sana za mabilioni ya shilingi mashariki ya kati kwa mahasimu wa Iran..Anatumia mwanya hyo kuifanya Iran ionekane tishio kwa nchi hizo ili tu kukuza biashara yake ya silaha. Mfano, tumeona miezi michache iliyopita Marekani ilisaini mikataba mbalimbali ya kijeshi ikiwa ni mikubwa haijawahi kutokea na Saudia kuwauzia silaha za dola bilioni mia tatu. Saudia ananunua masilaha yote hayo ili tu ajilinde dhidi ya Iran. Kumbuka Marekani ilishamuonya hata Israel kuhusu kuvamia Iran na walishamuambia kabisa ukirusha kombora lolote kwenda Iran tutalitungua.
Pia kumbuka biashara kubwa sana ya silaha ipo hapo middle east na Asia. Hilo la kwanza.
a6dba3cb7ce1330df8f1b957718be017.jpg
278f10a6f63654681b3ef6b22d6d87ef.jpg
49cdb92b5b0c45ea271679cd1c9439a0.jpg


Pili,
Kiusalama
Kumbuka Marekani kafanikiwa kutandaza rada zake sehemu nyingi hasa huko Ulaya kwa kisingizio cha makombora ya Iran. Juzijuzi hapa Putun alikua analalamika kuhusu Marekani kuweka rada na mitambo yake ya kutungulia makombora Romania,Poland kwa kisingizio cha vitisho vya Iran.Hiyo yote ni kutaka kuzizunguka Urusi na China ili kuzuia makombora yao kama ikitokea vita kati yao, yaaani makombora ya wenzake yasifike kwake ila yake yafike kwao.




Kama nikivyokuelezea kwa Iran na NK ni hivyohivyo sema kwa NK ipo tofauti kidogo maana NK karibu anakaribia kupata uwezo wa kupiga baadhi ya miji ya Marekani. Japokua Marekani anafaidika pia na mgogoro huu lakini pia anaumiza kichwa maaana na yeye hayuko salama.

Kwa ishu ya NK nayo naweza kuiweka makundi kama hayo juu.

Kiusalama

Kumbuka maeneo ya mashariki, magharibi, kaskazini kote Marekani ameshafanikiwa kuweka rada zake (kuchunguza nini kinaendelea ndani ya Urusi na China) na mitambo yake ya makombora, bado kusini. Na tumeona kupitia NK ameshafanikiwa kuanza kuweka hiyi mitambo mfano THAAD,kumbuka rada za THAAD zinaweza kuona hadi ndani ya China hivyo kua rahisi kwa Marekani kuichunguza. Bado tunasikia Japan nae anataka kununua mitambo zaidi toka Marekani ya kujilinda.

994082b14471992e091183491a5ab242.jpg
Angalia rada za Marekani zilivyowazunguka Urusi na China pande zote kasoro upande wa kusini
c132623bea14f5893a6a07f53669d9b8.jpg
47b69caf973e35491716e9e7e3bb4113.jpg


Biashara ya silaha

Kumbuka moja ya wanunuzi wakubwa wa silaha za Marekani ni South Korea ili kujilinda na NK. Na hivi juzi tumemsikia Trump akiwahimiza SK na Japan wanunue zaidi silaha za Marekani kujilinda dhidi ya NK
885f6a0effa79f18eeb591c90351b814.jpg


Na cha mwisho GDP na PPP ni vitu viwili tofauti.
Nalendwa izzo nankumene GoLang

Mkuu umemaliza ubishi wote juu hili swala la marekani,,, anaendekea kubisha huyo anajiskia tu
 
Hiyo mikwara tangu miaka ya 80 mpaka leo
mkuu Maalim Shewedy, wamarekani weusi hawataki kuamini kuwa U.S. wamesha tulizwa kwa kifupi U.S. kwa sasa hivi ni sawa na msichana aliye poteza bikra hatukatai mwanzo alikuwa nayo kila mtu anajua za mwizi 40 zimetimia !!
siunaona adi huku kwa makinikia tumesha anza kuwatekenya wakati siyo kazi rahisi kumtekenya simba ambaye siyo mgonjwa!!!
 
mkuu Maalim Shewedy, wamarekani weusi hawataki kuamini kuwa U.S. wamesha tulizwa kwa kifupi U.S. kwa sasa hivi ni sawa na msichana aliye poteza bikra hatukatai mwanzo alikuwa nayo kila mtu anajua za mwizi 40 zimetimia !!
siunaona adi huku kwa makinikia tumesha anza kuwatekenya wakati siyo kazi rahisi kumtekenya simba ambaye siyo mgonjwa!!!


Ndio Mkuu
 
Le5
Ikulu ya whitehouse kulitokea
mabishano na kutokuelewana
kati ya Trump na wasaidizi
wake Trump akiwalaumu
maafisa wa kijeshi akiwemo
waziri wa ulinzi ya kuwa kazi
kama imewashinda kumuwajibisha N Korea kivita
basi wampe yeye nyambizi moja aingie frontline mwenyewe
Mad dog akamuuliza tangu uzaliwe ulishawahi kunyoa kiduku
maishani mwako? Trump hapana
sijawahi na wala sitarajii kunyoa
Mad dog basi funga domo lako
isije ikawa kama John McCain kule Vietnam na wewe usije ukaacha akili na hilo wigi lako huko kwenye mahandaki ya PYONGYANG Trump kimya amebaki kubweka tu
Leta evidence, otherwise ni porojo tu hizo.
 
Ikulu ya whitehouse kulitokea
mabishano na kutokuelewana
kati ya Trump na wasaidizi
wake Trump akiwalaumu
maafisa wa kijeshi akiwemo
waziri wa ulinzi ya kuwa kazi
kama imewashinda kumuwajibisha N Korea kivita
basi wampe yeye nyambizi moja aingie frontline mwenyewe
Mad dog akamuuliza tangu uzaliwe ulishawahi kunyoa kiduku
maishani mwako? Trump hapana
sijawahi na wala sitarajii kunyoa
Mad dog basi funga domo lako
isije ikawa kama John McCain kule Vietnam na wewe usije ukaacha akili na hilo wigi lako huko kwenye mahandaki ya PYONGYANG Trump kimya amebaki kubweka tu
hahaha
 
mkuu Maalim Shewedy, wamarekani weusi hawataki kuamini kuwa U.S. wamesha tulizwa kwa kifupi U.S. kwa sasa hivi ni sawa na msichana aliye poteza bikra hatukatai mwanzo alikuwa nayo kila mtu anajua za mwizi 40 zimetimia !!
siunaona adi huku kwa makinikia tumesha anza kuwatekenya wakati siyo kazi rahisi kumtekenya simba ambaye siyo mgonjwa!!!
 
Ikulu ya whitehouse kulitokea
mabishano na kutokuelewana
kati ya Trump na wasaidizi
wake Trump akiwalaumu
maafisa wa kijeshi akiwemo
waziri wa ulinzi ya kuwa kazi
kama imewashinda kumuwajibisha N Korea kivita
basi wampe yeye nyambizi moja aingie frontline mwenyewe
Mad dog akamuuliza tangu uzaliwe ulishawahi kunyoa kiduku
maishani mwako? Trump hapana
sijawahi na wala sitarajii kunyoa
Mad dog basi funga domo lako
isije ikawa kama John McCain kule Vietnam na wewe usije ukaacha akili na hilo wigi lako huko kwenye mahandaki ya PYONGYANG Trump kimya amebaki kubweka tu
Acha wehu!!
 
Me maoni yangu ni kama ifuatavyo,

Kwanza Marekani sidhani kama atakua mjinga kuanzisha vita na Urusi hata siku moja,SIDHANI.

Na si kweli kwamba eti Marekani nchi zote zenye uwezo nazo anashindwa kuzivamia,mfano mzuri ni Iran. Kumbuka Marekani sio mjinga anacheza michezo yake kwa akili kubwa sana.Hizo nchi zenyewe hasimu wa Marekani, marekani anafaidika nazo. Kivipi
Kwanza,
Kibiashara
Marekani amekua akiuza silaha nyingi sana za mabilioni ya shilingi mashariki ya kati kwa mahasimu wa Iran..Anatumia mwanya hyo kuifanya Iran ionekane tishio kwa nchi hizo ili tu kukuza biashara yake ya silaha. Mfano, tumeona miezi michache iliyopita Marekani ilisaini mikataba mbalimbali ya kijeshi ikiwa ni mikubwa haijawahi kutokea na Saudia kuwauzia silaha za dola bilioni mia tatu. Saudia ananunua masilaha yote hayo ili tu ajilinde dhidi ya Iran. Kumbuka Marekani ilishamuonya hata Israel kuhusu kuvamia Iran na walishamuambia kabisa ukirusha kombora lolote kwenda Iran tutalitungua.
Pia kumbuka biashara kubwa sana ya silaha ipo hapo middle east na Asia. Hilo la kwanza.
a6dba3cb7ce1330df8f1b957718be017.jpg
278f10a6f63654681b3ef6b22d6d87ef.jpg
49cdb92b5b0c45ea271679cd1c9439a0.jpg


Pili,
Kiusalama
Kumbuka Marekani kafanikiwa kutandaza rada zake sehemu nyingi hasa huko Ulaya kwa kisingizio cha makombora ya Iran. Juzijuzi hapa Putun alikua analalamika kuhusu Marekani kuweka rada na mitambo yake ya kutungulia makombora Romania,Poland kwa kisingizio cha vitisho vya Iran.Hiyo yote ni kutaka kuzizunguka Urusi na China ili kuzuia makombora yao kama ikitokea vita kati yao, yaaani makombora ya wenzake yasifike kwake ila yake yafike kwao.





Kama nikivyokuelezea kwa Iran na NK ni hivyohivyo sema kwa NK ipo tofauti kidogo maana NK karibu anakaribia kupata uwezo wa kupiga baadhi ya miji ya Marekani. Japokua Marekani anafaidika pia na mgogoro huu lakini pia anaumiza kichwa maaana na yeye hayuko salama.

Kwa ishu ya NK nayo naweza kuiweka makundi kama hayo juu.

Kiusalama

Kumbuka maeneo ya mashariki, magharibi, kaskazini kote Marekani ameshafanikiwa kuweka rada zake (kuchunguza nini kinaendelea ndani ya Urusi na China) na mitambo yake ya makombora, bado kusini. Na tumeona kupitia NK ameshafanikiwa kuanza kuweka hiyi mitambo mfano THAAD,kumbuka rada za THAAD zinaweza kuona hadi ndani ya China hivyo kua rahisi kwa Marekani kuichunguza. Bado tunasikia Japan nae anataka kununua mitambo zaidi toka Marekani ya kujilinda.

994082b14471992e091183491a5ab242.jpg
Angalia rada za Marekani zilivyowazunguka Urusi na China pande zote kasoro upande wa kusini
c132623bea14f5893a6a07f53669d9b8.jpg
47b69caf973e35491716e9e7e3bb4113.jpg


Biashara ya silaha

Kumbuka moja ya wanunuzi wakubwa wa silaha za Marekani ni South Korea ili kujilinda na NK. Na hivi juzi tumemsikia Trump akiwahimiza SK na Japan wanunue zaidi silaha za Marekani kujilinda dhidi ya NK
885f6a0effa79f18eeb591c90351b814.jpg


Na cha mwisho GDP na PPP ni vitu viwili tofauti.
Nalendwa izzo nankumene GoLang


 
"ze kokuyo, niliambiwa ulikuwa Japan leo ndio mmeruhusiwa kutoka kwenye mahandandi maana hakuna dalili za rocket Man kupitisha tena mzigo wa maana kwenye hilo anga linalo lindwa kwa msaada wa watu wa marekani!!
Nasikia lile dude mlilishangaa maana lilipita kwa speed mpya bila kubisha hodi !!
nasikia south Korea waliogopa zaidi ya japan!!?
ndio maana Trump alikesha akiongea kwa njia ya simu na huyo muuni wa south na kumwambia hatutamtishia tena Mr rocket man maana tukimtishia lazima apazuwe angaa!!
TRUMP akamuhakikishia muuni kuwa tutatangaza wazi bila kificho kuwa hatuna vikwazo vingine tena kwa north Korea na sisi kama sisi hatuna ugovi na kim China na Russia waongeye maana wao ndio watu wake wa karibu na ndio watu walio ajiri watu wao wengi yote kwa yote pole sana kwa kukaa huko kwenye mahandaki Japan nina jua hamkupenda kukaa huko kwenye mashimo alfajiri muda ambao ni mzuri wa kumaliza tofauti za kifamilia!!

Fundi bhanaa!

labda alibadiri imekosea mwelekeo mkuu
 
Back
Top Bottom