Nikiwa Rais

Nikiwa Rais

Habari zenu wakuu.

Ushawai kuwaza mambo ambayo ungekuwa Rais ungeyafanya.

Napenda sana kufatilia maswala ya siasa ila kuna mambo kabisa naona ningeyafanya katika nchi yangu na nchi ingenyooka.

Mimi ni Rais kutoka Congo ila kwasasa naishi nje.

Mambo ningekuwa Rais ningeyateleza kwa miaka 5 ya kwanza.

  • Ningeomba wageni wote waondoke kwanza katika nchi ili tuweke mfumo mzuri wa wageni kuingia nchini mwangu na kila mgeni anapaswa kuomba visa katika balozi zetu kabla ya kuingia nchini. Kuna nchi zina ingia nchini bila visa alafu sisi tuombe visa kuingia nchi zao.
  • Ningeimarisha ulinzi, tuwe na mwanajeshi wa ardhi ya juu na wenye mafunzo ya huakjka. kila mkoa ningeweka kituo cha kutoa mafunzo ya kijeshi ili kutoa mafunzo yote yanayohusiana na maswala ya ulinzi
  • Ningewaomba kampuni zote wafanye biashara ndani ya nchi, yaani soko la kuuzia madini iwe ndani ya Congo. wafanyabiashara wawe wanakuja kununua madini nchini congo. Sio wasombe mchanga alafu wanaenda kufanyia mambo yote katika nchi zao. uwa haingii akilini madini yanatoka Congo lakini kiwandani cha kuchakata kipo ufaransa.
  • Nikimaliza kazi hiyo, mengine kama elimu, mawasiliano, bara bara na huduma zingine, ningedili nayo taratibu tu lakini hayo matatu ndo uwa bora kwangu.
 
Mimi ningekua rais:

Nikulifumua jeshi la police na kuwapa mafunzo upya. Lisiwe jeshi la kuonea watu Bali kulinda Raina na Mali zake kwa vitendo.


Badiri sheria za nchi, kupunguza au kuondoa upigaji wa Mali za umma.


Kubadili mfumo wa uongozi kuanzia kwa waziri mkuu, baraza la mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wakufugenzi, RAS DAS mpaka serikali za vijiji.


Machache ni hayo
 
Back
Top Bottom