jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Amani iwe nanyi ....
Naombeni ushauri . Nina mke wangu nikila chakula chake kitambi kinanitokea japo na jitahidi kufanya mazoezi, kunywa maji ya moto na limao na siku nyingine napiga mlo mmoja kwa siku na ikiwezekana sili kabisa ila hali bado ni mbaya sana.. kwani kitambi bado kinanitokea ..
Ila cha kushangaza nikiwa mbali na yeye kikazi kwa muda wa miezi kadhaa kitambi kinaanza kupotea ..
Naombeni ushauri wenu nifanye nini ku kwepa hili tatizo ndugu zangu
ciproflaxin
Naombeni ushauri . Nina mke wangu nikila chakula chake kitambi kinanitokea japo na jitahidi kufanya mazoezi, kunywa maji ya moto na limao na siku nyingine napiga mlo mmoja kwa siku na ikiwezekana sili kabisa ila hali bado ni mbaya sana.. kwani kitambi bado kinanitokea ..
Ila cha kushangaza nikiwa mbali na yeye kikazi kwa muda wa miezi kadhaa kitambi kinaanza kupotea ..
Naombeni ushauri wenu nifanye nini ku kwepa hili tatizo ndugu zangu
ciproflaxin