Nikitoka na mtu mwingine, jogoo hasimami

Nikitoka na mtu mwingine, jogoo hasimami

Bob Dere

Member
Joined
Jul 12, 2021
Posts
15
Reaction score
89
Naombeni ushauri wenu wadau, nina miaka kama mitatu nipo kwenye mahusiano na mama mmoja mwenye watoto wawili.

Natamani tuachane lakini nashindwa na kanambia lazima nitaishi nae hata kama sitaki. Sasa hivi nikitoka tu na mtu mwingine, jogoo hasimami mpaka yeye.

Embu nipatieni ushauri nifanyeje?

1628757338857.png
 
Sasa kama jogoo hasimami itakua amechoka, nunua pawerbank ile ya watts10000 ubust.....ikishindikana bust na betri ya gari moto mara moja.
 
Pole sana mkuu, usifanye uzembe maana kuna jamaa ameoa bado akawa na mchepuko yule mchepuka akamchezea jamaa.

Jamaa akiwa kwake haisimami akienda kwa mchepuko inasimama bahati mbaya jamaa katembea kwa watalaam bila mafanikio mwisho wa siku akawa muwazi kwa mkewe.

Sasa hivi mke wa jamaa anagongwa nje jamaa hana la kufanya na hawajaachana na mkewe ili kufichiana aibu na jamaa kaachana na yule mchepuko huku tayari ana madhara ya kusimamisha,,,,

Chakufanya mwambie huyo mwanamke wako ukweli kwamba mimi nimechepuka lakini haijafanya kazi kabla sija waambiwa wa kwenu juu ya huu uchawi wako rogoroa mapema nakupa siku mbili kama bado nawaeleza wazazi wako maana siwezi kuishi na mchawi.

Mkuu hapo ni mwendo wa kupiga biti la maana sio kulega lega maana kitakacho fata hapo ni bora utangulie kufa wewe ila akikutangulia kufa yeye basi unabaki kua nyoka wa Kibisa.
 
Nenda kaombewe au nenda kwa wazee. Uchaguzi ni wako
 
Huyo mama ni wa kichaga, msukuma (mtu wa kanda ya ziwa) au mpare.?! N'way kuna jamaa zangu wawili walipigwa kombora kama lako kwa nyakati tofauti. Haya mambo yetu vijana ya kutoa ahadi za "ntakuoa" basi mtoto wawatu anakaa na tumaini na kukuamini, Walikiona cha moto kila mmoja kwa wakati wake na mikoa tofauti ila kanda ya ziwa!

Ila wote walipona, kuna dawa zinaondoa hilo tego, ila ni fedheha jamaa zangu kila mmoja alinisimulia alinipa aibu zake kila alipokua akikutana na mwanamke wa pembeni mashine inapata pacha tu basi ni taflani na mzozo mzito ndani ya gheto..
 
Sio siri mabinti na wamama wa Kisukuma wana hii michezo sana, Rafiki zangu wa karibu ni wahanga wa hizo tego..

Pia wachaga na wapare, nilijionea kwa jirani na jamaa mmoja yalimkuta.
 
Kuna mmoja alifanya huu mchezo nikamwambia dada yangu, dada alimuwashia moto akarogoroa na mapenzi yakaishia hapo
 
Pole sana mkuu, usifanye uzembe maana kuna jamaa ameoa bado akawa na mchepuko yule mchepuka akamchezea jamaa.

Jamaa akiwa kwake haisimami akienda kwa mchepuko inasimama bahati mbaya jamaa katembea kwa watalaam bila mafanikio mwisho wa siku akawa
Hatari hii.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mama ni wa kichaga, msukuma (mtu wa kanda ya ziwa) au mpare.?! N'way kuna jamaa zangu wawili walipigwa kombora kama lako kwa nyakati tofauti. Haya mambo yetu vijana ya kutoa ahadi za "ntakuoa" basi mtoto wawatu anakaa na tumaini na kukuamini, Walikiona cha moto kila mmoja kwa wakati wake na mikoa tofauti ila kanda ya ziwa!
Msaada kwenye hii tiba..jamaangu naye hivyo hivyo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unatafuta nini huko ambako hausimamishi? Tulia na mkeo tafadhali.
Naombeni ushauri wenu wadau, nina miaka kama mitatu nipo kwenye mahusiano na mama mmoja mwenye watoto wawili.

Natamani tuachane lakini nashindwa na kanambia lazima nitaishi nae hata kama sitaki. Sasa hivi nikitoka tu na mtu mwingine, jogoo hasimami mpaka yeye.

Embu nipatieni ushauri nifanyeje?
 
Back
Top Bottom