Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,098
- 8,206
Anataka usimame njia kuu.
Mkuu😂😂😂.Kuna mmoja alifanya huu mchezo nikamwambia dada yangu, dada alimuwashia moto akarogoroa na mapenzi yakaishia hapo
ahhahahahahahaNunua panga la makali kuwili linoe ipasavyo muendee huyo mama mwambie asipotegua hilo tego lake unamgawanyisha kiwiliwili, na wanae unawakatakata kama kabechi, taizi la kwanza anza kumpiga mabapa
Ukishindwa omba msaada, watu na roho zetu
Hata hujalogwa umeathirika kisaikolojia, achana na huyo mwanamke pia uhuni sio deal
Jogoo nimutoe wapi rafiki mieHeeh, we cariha unashauri kwa na ww unajogoo anayewika!?
Jogoo nimtoe wapi rafiki mie
Okay, don't mind sweetie 😜!Jogoo nimutoe wapi rafiki mie