well!!!!ges zipo but sjui wapi exctly pa kuzipata njia rahisi ya kuzipata ni kwa kudouwnload mie hutumia torrents.
hebu ngoja nitumie hiyo torrents kudownload maana nimechoka kwenda kwenye maduka ya Wahindi kila siku kuuliza kama zimetoka
Hivi na hizi network zetu za Voda na Airtel itakubali kudownload kweli?
Asante sana na barikiwa
Mie natafuta The vampire diaries Season 4 wapenzi ikitoka please
Torrents iko poa mie natumia zantel na iko poa maana nkiweka kifurushi cha 600mb kinanitosha kabsa kwa ep moja ambayo mara nyingi haizidi mb300...!!!u can go for it...!!!
Vampire Diaries tayari my dia kesho alhamis inatoka ep ya 3.