Nikimwambia tuachane anakata simu

Una umri
Unaumri gani?
Shule zifunguliwe tu sasa
 
We achana nae endelea na maisha yako.....ucjipe stress maisha yenyewe mafupi aya..
 
Na wewe bwana miezi 3 unataka mpelekane home?
Halafu wewe ni mwanaume wa ajabu, unampigia cm tena?
1. Usimtafute asome namba.
2. Speak to her face,mchane live aiseee huruma za kijinga ztakupeleka pabaya.
 
Mwandikie SMS ya kumkataa kisha muweke kwenye blacklist au badili line ya simu.
 
utoto some time unakera sana../ yaani kuacha unashindwa / mnataka muachane kwa kubembelezana?,ajabu sana...
 
Sasa kama umetuma msg ya kumuacha unamtafuta tena ya nn
 
Nitumie namba yake niongee nae. Haiwezekani akusumbue kiasi hicho. Hembu nishurie hiyo namba nimuweke sawa. Hana adabu kabisa huyo.
Mkuu nakukubali sana kwa jinsi unavyojua kuwakanya wanaosumbusumbua kama binti yule, sasa jamaa akurushie no hatojutia
 
Usijibu sms zake wala kupokea simu yake ...ikiwezekana tembeza block tuu kila mahali invluding social media n.k
 
Unatushusha hadhi wanaume. Yani kumwacha mwanamke mpaka ujadiliane naye tena! Au hujaamua kumwacha, bado unampenda! Akh, acha kuwasiliana naye, usipokee wala kujibu sms yake....kaa kimya. Simple.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…