Nikimpata naoa.

Nikimpata naoa.

chikaputula

Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
28
Reaction score
3
-nina umri wa miaka 32.

-ni mkristu mkatoliki

-ni muajiriwa wa kampuni fulani ya madawa ya mifugo na kilimo.

-nipo morogoro mjini.

-nina ufupi wa sm 158 na ni mnene kiasi.

-ni mweusi ila si sana

NINATAFUTA MSICHANA WA KUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO.

-awe mkristu mkatoliki

-awe na umri wa kati ya miaka 25-30

-awe anayejitambua na mchapakazi mwenye kujituma pasipo kusimamiwa.

-awe tayari kufunga ndoa mapema iwezekanavyo na kuishi popote tanzania.

-awe mweusi au maji ya kunde na kama ni mweupe awe wa asili(asiwe wa kujichubua)


KWA YEYOTE ALIYE TAYARI TUWASILIANE KWA PM.
 
Awe tayari kuishi mahali popote Tanzania ?

hii ni km Yale matangazo ya ajira ya NGO inazotafuta wafanyakazi kufanya kazi mazingira magumu?
 
mkwe karibu kwangu ninaye mrembo mmoja atakufaa
 
-nina umri wa miaka 32.

-ni mkristu mkatoliki

-ni muajiriwa wa kampuni fulani ya madawa ya mifugo na kilimo.

-nipo morogoro mjini.

-nina ufupi wa sm 158 na ni mnene kiasi.

-ni mweusi ila si sana

NINATAFUTA MSICHANA WA KUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO.

-awe mkristu mkatoliki

-awe na umri wa kati ya miaka 25-30

-awe anayejitambua na mchapakazi mwenye kujituma pasipo kusimamiwa.

-awe tayari kufunga ndoa mapema iwezekanavyo na kuishi popote tanzania.

-awe mweusi au maji ya kunde na kama ni mweupe awe wa asili(asiwe wa kujichubua)


KWA YEYOTE ALIYE TAYARI TUWASILIANE KWA PM.

Mkuu unaowa mwanamke wa miaka 27-30?? Hao ni wazee achana na😵wa wa miaka 18-24.
 
Mkuu ina maana hata kwenye jumuia hukubahatika kumpata kweli siku hizi wachumba ni adimu.
Muombe Mungu akusaidie kuchagua anayekufaa kati ya hao watakaokupiemu.
 
-nina umri wa miaka 32.

-ni mkristu mkatoliki

-ni muajiriwa wa kampuni fulani ya madawa ya mifugo na kilimo.

-nipo morogoro mjini.

-nina ufupi wa sm 158 na ni mnene kiasi.

-ni mweusi ila si sana

NINATAFUTA MSICHANA WA KUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO.

-awe mkristu mkatoliki

-awe na umri wa kati ya miaka 25-30

-awe anayejitambua na mchapakazi mwenye kujituma pasipo kusimamiwa.

-awe tayari kufunga ndoa mapema iwezekanavyo na kuishi popote tanzania.

-awe mweusi au maji ya kunde na kama ni mweupe awe wa asili(asiwe wa kujichubua)


KWA YEYOTE ALIYE TAYARI TUWASILIANE KWA PM.

Utampata ila co humu ndani mke co bidhaa ukiagiza unaipata la hasha
 
Ngoja nkupm no za dada wa kaz wa rafk ang mmoja....anataka kuvunja ndoa ya baba mwenye nyumba....ila anasifa zote izoo
 
Hili sasa ndo tangazo LA kusaka mchuchu limekamilika...kila laheriii
 
Back
Top Bottom