chikaputula
Member
- Jan 21, 2014
- 28
- 3
-nina umri wa miaka 32.
-ni mkristu mkatoliki
-ni muajiriwa wa kampuni fulani ya madawa ya mifugo na kilimo.
-nipo morogoro mjini.
-nina ufupi wa sm 158 na ni mnene kiasi.
-ni mweusi ila si sana
NINATAFUTA MSICHANA WA KUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO.
-awe mkristu mkatoliki
-awe na umri wa kati ya miaka 25-30
-awe anayejitambua na mchapakazi mwenye kujituma pasipo kusimamiwa.
-awe tayari kufunga ndoa mapema iwezekanavyo na kuishi popote tanzania.
-awe mweusi au maji ya kunde na kama ni mweupe awe wa asili(asiwe wa kujichubua)
KWA YEYOTE ALIYE TAYARI TUWASILIANE KWA PM.
-ni mkristu mkatoliki
-ni muajiriwa wa kampuni fulani ya madawa ya mifugo na kilimo.
-nipo morogoro mjini.
-nina ufupi wa sm 158 na ni mnene kiasi.
-ni mweusi ila si sana
NINATAFUTA MSICHANA WA KUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO.
-awe mkristu mkatoliki
-awe na umri wa kati ya miaka 25-30
-awe anayejitambua na mchapakazi mwenye kujituma pasipo kusimamiwa.
-awe tayari kufunga ndoa mapema iwezekanavyo na kuishi popote tanzania.
-awe mweusi au maji ya kunde na kama ni mweupe awe wa asili(asiwe wa kujichubua)
KWA YEYOTE ALIYE TAYARI TUWASILIANE KWA PM.