Kwa hiyo siwezi soma medicine mkuuukifaulu vzuri kasome digrii ya maabara kwan lazima uwe daktari,na waliosoma CO na AMO wasome nini.?we endelea kupga microscope hadi level za phd.
Sio Microscope tu, kuna zaidi ya hapo. Vitu kama x-rays, NMR, Utra-sounds,CT-Scan. and other sophisticated lab works. Kama mimi ningekuwa ndio wewe ningekuwa endelea na Lab tech hadi Degree kwa kuspecialize kwenye RADIOLOGY. Kwani Kwa Bongo hatuna Radiologist wazuri zaidi ya Mcuba mmoja zamani alikuwa pale Tumaini Hospital na Kaka yangu mmoja akiitwa Dr Bashiru, japo huyu sio Radiologist wa kusomea
Nani kakuongopea hata utoke na GPA ya 4.99999 huwezi soma MD,Ili uweze soma MD kutokea ngazi ya chini ni lazima uwe umesoma Clinical Officer(CO),Dentist or Asistant Medical Officer(AMO)wakuu naomba mnijuze hivi nikimaliza diploma ya labaratory tech nikiwa nimefaulu vizuri naweza soma shahada ya medicine?
Nani kakuongopea hata utoke na GPA ya 4.99999 huwezi soma MD,Ili uweze soma MD kutokea ngazi ya chini ni lazima uwe umesoma Clinical Officer(CO),Dentist or Asistant Medical Officer(AMO)
Nimekusoma mkuuNani kakuongopea hata utoke na GPA ya 4.99999 huwezi soma MD,Ili uweze soma MD kutokea ngazi ya chini ni lazima uwe umesoma Clinical Officer(CO),Dentist or Asistant Medical Officer(AMO)
Naomba kuuliza mtu aliyesoma science and laboratory technology anaweza fanya kazi TFDI au TBS..?