Uchaguzi 2020 Nikikumbuka janga la Corona, Watanzania tusipomchagua Dkt. Magufuli bila shaka Mungu atatushughulikia kivingine

Corona iliingia Tanzania na ipo,haijaondoka imetulia ili kuwawezesha watanzania kumuondoa au kuiondoa serikali ya MABEPARI aka magombe.
(CCM=Chama Cha Mapepari)
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
This is a comedy.... Tanzania ni taifa teule and the whole world failed to get that. 🙄🙄🙄
 
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
That's a reminder for those who do not understand what a free and fair election means.
 
Corona haipo Tanzania.

Ona huyu mzalendo anavyomshangaa mbeba ajenda za mabeberu
View attachment 1594117
Upumbavu ni mzigo, hebu niambie nani ni beberu, na ambae serikali hii ya kidikteta haishirikiani nayo? Primary school enzi za 70s ndio tulikuwa tunaambiwa habari za Kibanga kampiga mkoloni, Leo kuna majuha mnakaririshwa na mnataka kutuingizia upumbavu wenu? Shame!!
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Mungu na usangoma wapi na wapi ?
Mawazo mfu, so deadly dumb !!
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
Uvccm bhana
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue

Kwamba?

"Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu."

Ukisikia wazimu, kama siyo huu basi haupo.

Hiiiiii bagosha!
 
Naon
Kwamba?

"Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu."

Ukisikia wazimu, kama siyo huu basi haupo.

Hiiiiii bagosha!
Naona unatukumbusha upumbavu!
 
Naon
Naona unatukumbusha upumbavu!

😂😂😂😂!

Mleta mada bwana MEXICANA:

IMG_20210919_093642_795.jpg


kumbe mida ya 0451 alikuwa naye aki zoom na kujisemea "hiiiiii!"

Haiyumkiniki atakuwa amekusoma pia.
 
Kumbuka.

"Man without God can not, and God without man will not"

"Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe"

Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye hakumwelewa labda tu kwa wale wanaopinga kila mtu.

Ukijaribu tu kufikiria kama bwana yule angekuwa ndiyo yeye mkuu wa nchi sjui tungekuwa vipi Leo na janga hilo.

Ifike mahali tujue kuwa kuna watu wanakuja kwa wakati na majira sahihi tuwaache watimize makusudi ya Mungu aliyowawekea mioyoni mwao.

Nakumbuka Yesu aliulizwa swali fulani akajibu "Kwa ajili ya haya nalikuja"

Tufike mahala tukubali kuwa kuna watu huja kwa specific issue
What happened at the end
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom