Sawa mkuu nimekuelewa nashukuru sanaTatizo kubwa hapo inaweza kuwa ni misuli husika kukosa nguvu kutosha kusukuma mkojo, yaani hilo ni la kwanza. Lingine linaweza kuwa maambukizi njia ya mkojo, la mwisho ni dalili za mwanzo za TEZI DUME.
Nakushauri tu usikae na mkojo hadi ukakubana sana kwa muda mrefu kibofu cha mkojo kinatanuka kinashindwa kurudia hali yake. kama puto linavyorudi ukitoa upepo ndo kibofu kinatakiwa kiwe. kuanzia miaka 40 ni dalili za kawaida na tunashauriwa kucheki tezi kuanzia miaka hiyo.
Bro, unisaidie namm hyo nambaMkuu pole sana na hilo ttz..kuna tabibu mmoja iv wa tiba asilia na hasa ilo la mkojo..na ashatibia watu weng na si hilo.hadi ttzo la kukuojoa kutumia mpira kuna dawa ana kupatia ukitumia mambo safi..ngoja pakuche nikutafutie namba yke afu ntakuletea hapa uumtafute mwenyewe na anapatikana morogoro mjin..
Usijal mkuu hicho nasikia ndo kipimo cha kuanalia matatizo kwenye tezi dume ukiwa na shida uwezi kujal hilo

Saww mkuu.Ok mkuu ila nianze hosptal kwanz kuangalia ushauri huo wa tezi dume
Namba iyo mkuu 0714169812Bro, unisaidie namm hyo namba
Wewe ni Ke au Me,miaka minne yote hujawahi tibiwa Hospital,kipimo cha awali upimwe mkojo na UTS kuaangalia Figo zako,Ushauri mkuu tibiwa Hospital.Mkuu shida mkojo nikikojoa hauishi moja kwa moja kuna matone yatakuja baada ya kukunguta yanachafua nguo pia nikiingia bafu naweza kujoa nifikap hila baadae kidogo nikusukuma tena unatoka kama kikombe cha kahawa au nusu umri wangu 40 tatizo hili sasa mwaka 4 sijawai kutafta matibabu
Kuna mwanaume Hana tezidume?Dalili za tezi dume wahi kwa wajuzi huko hospitalini
www.orci.or.tz
Ina maana virutubisho vinatibu kila kitu? Maana kila ugonjwa wauza virutubisho Wana dawaDalili mojawapo ya uvimbe wa tezi dume. Kapime hospitali kama tatizo ni hilo nicheki nikushauri virutubisho vya kutumia ili upone bila upasuaji. Kwa maelezo zaidi piga 0620321041 au 0673758230