phanta
Member
- Aug 14, 2014
- 59
- 15
Mkuu shida mkojo nikikojoa hauishi moja kwa moja kuna matone yatakuja baada ya kukunguta yanachafua nguo pia nikiingia bafu naweza kujoa nifikap hila baadae kidogo nikusukuma tena unatoka kama kikombe cha kahawa au nusu umri wangu 40 tatizo hili sasa mwaka 4 sijawai kutafta matibabu