Nikikasirika mvua inanyesha

Nikikasirika mvua inanyesha

Basi bibi yako ndo ako nahasira zidi thats why ukigomba mvua inanyesha ajitaid kua namikate yazarula kwajambo ilo
 
Kitaalamu tunasema ume "loss contact with reality" hizo ni dalili za Delusion of grandiosity
 
Ndo maana MVua zinanyesha kila siku kumbe sababu wewe!! kwa jinsi huyo mkeo alivyo na mdomo mtatuletea mafuriko huku tandale hamieni huko Dodoma au mtera
 
hiyo ni dalili ya kichaa (schizophrenia) vichaa huhisi mambo hufanyika kwasababu na kwaajili yao.
 
...labda una nguvu fulani Mkuu ambazo mwenyewe bado hujazigundua. Endelea kufuatilia.

Kuna jambo la ajabu ambalo sijui ni Kwa nini inatokea hivi.
Kwamba ninapohitilafiana na mke wangu nikikasirika mara nyingi mvua inanyesha ni jambo ambalo limenitokea zaidi ya Mara tatu sijui nini maana yake wataalam msaada wenu Juu ya tukio hili.
 
Unasubiria nini usianzishe mradi kwenye kilimo aisee mana tayari maji yanapatikana.Utatajirika ujue tumia fursa hiyo
 
Ndalichako inabidi akaze sana swala la elimu, kazi ipo.
 
Mkuu kuna watu wanachukulia utani, hata mie nishawahi kushuhudia mama mmoja ambaye ilikuwa Mara nyingi kama sio zote akifua tu mvua inanyesha hata kama hakukuwa na dalili ya kunyesha mvua,yani ilikuwa kama utani vile.
 
Back
Top Bottom