Nikijibiwa Nina mpenzi tayari nazima data

Nikijibiwa Nina mpenzi tayari nazima data

Joined
Mar 11, 2019
Posts
5
Reaction score
2
Samahanini Nina tatzo moja naomba mnisaidie, Yaani Mimi katika harakati zangu za kutongoza, nikijibiwa "Nina mtu" au "nina mpenzi tayari" Sina ujanja na huwa sijui maneno gani Tena ya kusema na sijawahi kumpata mwanamke ambae ashawahi nijibu "Nina mtu"
Naomba mnipe ujuzi tafadhali cozi nikishajibiwa hivyo nakata tamaa kabisa yani
 
Samahanini Nina tatzo moja naomba mnisaidie, Yan Mimi katika harakat zangu za kutongoza, nikijibiwa "Nina mtu" au "nina mpenza tayari" Sina ujanja na huwa cjuw maneno gan Tena ya kusema na cjawai kumpata mwanamke ambae ashawai nijibu "Nina mtu"
Naomba mnipe ujuz tafadhar cozi nikishajibiwa ivyo nakata tamaa kabisa yani
Sio lazima utafute wenye WhatsApp tu wengi wao wanakuwaga na watu tafuta masikini wenzako
 
Kwa nyakati hizi kukuta binti 20+ kutokuwa katika uhusiano ni ngumu, unachotakiwa kufanya ni mapinduzi tu. Kumpindua aliyepo ili uchukue koloni.
 
Samahanini Nina tatzo moja naomba mnisaidie, Yan Mimi katika harakat zangu za kutongoza, nikijibiwa "Nina mtu" au "nina mpenza tayari" Sina ujanja na huwa cjuw maneno gan Tena ya kusema na cjawai kumpata mwanamke ambae ashawai nijibu "Nina mtu"
Naomba mnipe ujuz tafadhar cozi nikishajibiwa ivyo nakata tamaa kabisa yani
Natural selection haidanganyi dogo... waliofit pekee ndio hula mema ya nchi
 
Wanakutega tu! Siku ukiweza kufikiria beyond that utajikuta unawala mpaka utachoka.
 
Bembeleza uwe spear tyre acha uzembe hawakataagi hawa viumbe ukiweka msisitizo, ukikata tamaa utapiga nyeto mpaka ujute.

Sent from my itel W5504 using JamiiForums mobile app
 
Bembeleza uwe spear tyre acha uzembe hawakataagi hawa viumbe ukiweka msisitizo,ukikata tamaa utapiga nyeto mpaka ujute.

Sent from my itel W5504 using JamiiForums mobile app
Dah sema sijui ni mimi tu lakini kusema kweli kazi ya kuwa mshika mapembe ni ngumu sana[emoji23][emoji23]
 
Dah sema sijui ni mimi tu lakini kusema kweli kazi ya kuwa mshika mapembe ni ngumu sana[emoji23][emoji23]
Siyo kuwa mshika pembe dingii,bembeleza ukiwa na malengo akielewa tu haina kuremba hakikisha unamchanua mapaja na umsugue kweli kweli,sugua mpaka ashindwe kukumbuka jina lake.Halafu baada ya hapo mcheki kama atakuambia habari za ooh nina mtu wangu.

Sent from my itel W5504 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom