Steve Njimaita
New Member
- May 27, 2020
- 4
- 2
Nimekuwa nikikutana na kadhaa moja pale ninapokwenda kukunua bidhaa dukani na kudai risiti ya EFD huwa naambiwa, Ukitaka risiti ya EFD bidhaa hiyo bei yake inapanda otherwise tukuandikie tu au uende bila risiti.
Swali langu ni je, na huko kwenu ipo au ni huku tu, na vipi kuhusu hilo suala limekaaje Kitaalamu, kwamba EFD inahusikaje kuongeza bei ya bidhaa, na TRA au watu wanaohusika na masoko wanajua kuhusu hilo .?
Swali langu ni je, na huko kwenu ipo au ni huku tu, na vipi kuhusu hilo suala limekaaje Kitaalamu, kwamba EFD inahusikaje kuongeza bei ya bidhaa, na TRA au watu wanaohusika na masoko wanajua kuhusu hilo .?