Habari zenu wana jf nami leo naomba mnishauri -kunamsicha nimempenda, sasa tuna wiki 3 tu tangu tufahamiane hivyo ameniambia km nampenda kweli niende nikajitambulishe kwao, mi najiuliza hivi muda unatosha kweli kujitambulisha kwao? ushauri wako mhimu saaaana.