imbegete
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,299
- 994
Mbona wewe unanitafuta kila kukicha wakati ukijua kwamba mimi ni wa kurekure, omukari onu!!mjinga sana huyo utatongozaje likurya?
Mbona wewe unanitafuta kila kukicha wakati ukijua kwamba mimi ni wa kurekure, omukari onu!!mjinga sana huyo utatongozaje likurya?
Ntakugegeda bure hata hela ya bodaboda sikupi


Sio umalaya kabisa
Jamani kama kuna dada ananizimia humu DM yangu iko wazi 24/7,karibun
ni kweli kabisa. sembuse anaweza kukupenda halafu unajua inafika mahali mwanamke unapenda zaidi ya mwanzo na akijua vile vile unateseka.Hakuna penzi la mwanamke kuanza kumpenda mwanaume atakutesa sana hata ikiwa sio kwa kukuonesha,labda iwe bahati kwamba na yeye alikuwa anakupenda ila wewe umewai kumwambia.
Yes Mkuu sasa unataka bahati gani zaidi ya hiyo hapo?Ahahahah mkuu kwmba utamgegeda buree![]()
![]()
wewe si ulinambia unanipenda au ulikuwa unataka kuniibia?ni kweli kabisa. sembuse anaweza kukupenda halafu unajua inafika mahali mwanamke unapenda zaidi ya mwanzo na akijua vile vile unateseka.
haya mapenz hayana formula bhana akifika mahali akianza kukuchukia au ku act awkward, una take time on how to make things move as before and you move on.
No need ya wewe kujiua au kujikondea mwenyewe.
and i tell you if you insist on kujikondea no one will love you. =period=
hapo nimechangia tu lkn kama nilivyokuambia nakupenda nasubiri majibu yako bado.wewe si ulinambia unanipenda au ulikuwa unataka kuniibia?
Mkuu, si sahihi, wengi wanadumu kwa raha mustarehe hata kama mwanamke ndie alietongoza. Mapenzi yanaweza kuwa machungu kama mwanaume alietongozwa hajielewi, umri wa utoto na ushamba.utaishia tu kugegedwa bure bila hata maji ya kunywa! hata kama unampenda vipi mwanaume kama hakupendi ni mateso makubwa.shinda tamaa
Ili nami nikupende niahidi kuwa utaachanana yule muhuni wakohapo nimechangia tu lkn kama nilivyokuambia nakupenda nasubiri majibu yako bado.
kibongo bongo ni shida kueleweka labda kwa wenzetu wazungu labda wanatabia hiyonakupenda naomba uwe mpenzi wanhu
Kweli huu utaratibu bado kwetu ni wa MASHAKA sana.kibongo bongo ni shida kueleweka labda kwa wenzetu wazungu labda wanatabia hiyo
haaaa tena sitaki tena. y unamuita muhuni? na masharti yako magumu.Ili nami nikupende niahidi kuwa utaachanana yule muhuni wako
Yes Mkuu sasa unataka bahati gani zaidi ya hiyo hapo?
So hautomuambia kwa sababu utagegedwa bure au kuhofia hakupendi...sijaelewa point yako!!!Ukitongozwa ndyo haugegedwi bure!!!utaishia tu kugegedwa bure bila hata maji ya kunywa! hata kama unampenda vipi mwanaume kama hakupendi ni mateso makubwa.shinda tamaa