wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,650
wakurya wana mboo ndefu afu wakipanda hapo kifuani hawashuki mapema. yaani unasuguliwa mpka basi. kama unabisha tafuta mkurya akugegedemjinga sana huyo utatongozaje likurya?
wakurya wana mboo ndefu afu wakipanda hapo kifuani hawashuki mapema. yaani unasuguliwa mpka basi. kama unabisha tafuta mkurya akugegedemjinga sana huyo utatongozaje likurya?
vyoteHivi mwanamke kumtongoza mwanaume ni tabia ya kawaida au ni umalaya?![]()
![]()
![]()
sema kweliNa ni vigumu sana mwanaume kumkataa mwanamke inapotokea hali kama hiyo, sema mara nyingi mwanamke huishia kutumika tu
Haijakatazwa mwanamke kumtongoza mwanaume jamii inachukulia Kama vile binti aliekosa nidhamu lakin sivyo ukimwona mwanaume anatabia njema ukahisi he can make a good husband basi unamwambia kwa adabu tu.
Kuna vingi wanawake tumekatazwa Kama vile tabia ya kununanuna,kutokuwa na shukrani, kukaa Faragha na mtu ambae sio maharimu wako n.k
Sio umalaya kabisa
Jamani kama kuna dada ananizimia humu DM yangu iko wazi 24/7,karibun
a
Kukaa falagha na mtu ambae siyo maharimu wako! Imekaaje hii?Haijakatazwa mwanamke kumtongoza mwanaume jamii inachukulia Kama vile binti aliekosa nidhamu lakin sivyo ukimwona mwanaume anatabia njema ukahisi he can make a good husband basi unamwambia kwa adabu tu.
Kuna vingi wanawake tumekatazwa Kama vile tabia ya kununanuna,kutokuwa na shukrani, kukaa Faragha na mtu ambae sio maharimu wako n.k
Hairuhusiwi kukaa mwanaume na mwanamke wanaoweza kuoana Faragha mipaka ni muhimu na kuchunga hekima btn you two maana mkikaa wawili Faragha haramu inaweza kutokeaKukaa falagha na mtu ambae siyo maharimu wako! Imekaaje hii?
Sina shaka na uliyoyaeleza yapo sahihi. Tatizizo langu ni matumizi ya neno maharimu, ulivyolitumia kwenye sentensi kanusha.Hairuhusiwi kukaa mwanaume na mwanamke wanaoweza kuoana Faragha mipaka ni muhimu na kuchunga hekima btn you two maana mkikaa wawili Faragha haramu inaweza kutokea
Niushujaa wakufata kile moyo unataka,ila wengine wataona ni umalaya,ila waliangalie hili kwa jicho la 3..Hivi mwanamke kumtongoza mwanaume ni tabia ya kawaida au ni umalaya?![]()
![]()
![]()
Ok nirekebishe nilipokoseaSina shaka na uliyoyaeleza yapo sahihi. Tatizizo langu ni matumizi ya neno maharimu, ulivyolitumia kwenye sentensi kanusha.
Na mimi hapa huwa napata ugumu kujua kwamba wanawake hupata vipi chaguo lao? Labda tuseme wanakubali baada ya kushawishiwa na waume walio nao sio chaguo lao.Kila mtu ana haki ya kueleza hisia zake kwa mwenzake hasa mtu anayempenda sema tu mtazamo wa jamii zetu ndo shida. Mwanamke kumtongoza mwanaume haimaanishi ni malaya, huwenda ndo mwanaume pekee aliyempenda. Kumbuka kila mtu ana mtu anayempenda na anaweza kuwa rahisi kwa mtu fulani kwakua tu ndilo lilikuwa hitaji lake au akawa mgumu kwa mtu mwingine kwakua hakumpenda na ndipo jitihada za kumshawishi huyu mtu zinapofanya kazi mpaka akubaliane nawe kisha kukupenda.
Hata malaya anaweza kujifanya mgumu vilevile ili umuone wa maana, wala hataweza kukutongoza lakini utaingia mwenyewe, hivyo basi ikitokea umetongozwa na mwanamke mheshimu na mkubalie kama utampenda au mkatae kwa staha na sababu nzuri maana si lazima uwe nae.
Tukibakia na mtazamo kuwa kila mwanamke anayetongoza mwanaume ni malaya basi maisha ya unafiki na kuigiza hayataisha kwenye jamii zetu.
umenena vyema sana dadangu....Haijakatazwa mwanamke kumtongoza mwanaume jamii inachukulia Kama vile binti aliekosa nidhamu lakin sivyo ukimwona mwanaume anatabia njema ukahisi he can make a good husband basi unamwambia kwa adabu tu.
Kuna vingi wanawake tumekatazwa Kama vile tabia ya kununanuna,kutokuwa na shukrani, kukaa Faragha na mtu ambae sio maharimu wako n.k