bishontongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 239
- 223
Hivi mwanamke kumtongoza mwanaume ni tabia ya kawaida au ni umalaya?
nakupenda naomba uwe mpenzi wanhuNi Umalaya.
Mhhh nimeuliza sio kwamba ni matarajio yangu wala stegemei na haijawai tokea na haitatokea .ila nijuavyo mie si utamaduni kwa mtoto wa kitanzania.utaishia tu kugegedwa bure bila hata maji ya kunywa! hata kama unampenda vipi mwanaume kama hakupendi ni mateso makubwa.shinda tamaa
Ntakugegeda bure hata hela ya bodaboda sikupinakupenda naomba uwe mpenzi wanhu
aya kwaheriNtakutomba bure hata hela ya bodaboda sikupi
Wasalimiyeaya kwaheri
utaishia tu kugegedwa bure bila hata maji ya kunywa! hata kama unampenda vipi mwanaume kama hakupendi ni mateso makubwa.shinda tamaa
mjinga sana huyo utatongozaje likurya?Niliye naye alitaka mwenyewe jamani nisepe au niendelee kula vyandani?
Likurya sio libinadamumjinga sana huyo utatongozaje likurya?



Acha chuki missmjinga sana huyo utatongozaje likurya?
unalianzaje limura kulitongoza?Likurya sio libinadamu![]()
Jaribu wala sio kazi rahisi ufurahie vitamu wala hutaumiaunalianzaje limura kulitongoza?
ahahaaa naogopa panga aiseeJaribu wala sio kazi rahisi ufurahie vitamu wala hutaumia
Siku hizi wanatembea na pesa panga ni ya kukatia migomba jaribu hutabanduka tamuuahahaaa naogopa panga aisee