Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
mbegu huharibika ili kutoa mmea mzuri,sasa kama wakubwa wanabomoa,c bora tuwasaidie kubomoa ili tuharibu kabisaaaaa,halafu baadae tukiona madhara kwa pamoja tutafeel na kuwa responsible kwa nchi yetu,nakuambia wengine hawafeel kabisa nchi hii,rostam,lowassa utawazungumziaje wewe?lazima tuzungumze lugha moja,na hii itakuja automatically kama we will all get a pain in an ass
Bado sikubaliani na approach yako! Sidhani kama wengine walioendelea ndivyo walivyofanya! Lazima awepo mtu wa kusema NO na kuwakemea wengine.