Kuna majinga yanajiita polisiccm yatakufuata yakitonywaFundi kuniambia kama unataka kujenga
nyumba yenye vyumba vinne au zaidi ni bora ujenge ghorofa.
Kujenga nyumba ni jambo kubwa. Unapofikia hatua ya kuamua idadi ya vyumba vya kulala, swali muhimu linajitokeza. Nijenge nyumba ya chini au ghorofa ?
Fundi kashauri kama unataka nyumba yenye vyumba vinne au vitano vya kulala ni bora ukajenga ghorofa. Lakini Ikiwa vyumba havizidi vitatu basi Jenga nyumba ya chini.
Kama unajenga jengo la vyumba vitano au vinne gharama hazitofautiani sana kama unavyofikiria
Wengi hufikiri nyumba kubwa ya chini ni nafuu. Lakini ukilinganisha nyumba yenye vyumba vitano vya chini na ghorofa yenye vyumba vitano gharama ni kama zinakaribiana kuwa sawa .
Tofauti iyaweza kuwa kati ya asilimia 25 hadi 35 tu.Siyo mara mbili au tatu ya gharama kama watu wengi wanavyodhani.
Fundi kaendelea kunishauri kama nitaamua kujenga nyumba yenye vyumba vinne au zaidi ya chini, maana yake nyumba hiyo itagharimu zaidi kwenye
Paa kubwa , mabati mengi, mbao nyingi.
Utajenga kuta nyingi za kugawa vyumba hivyo matofali ni mengi zaidi.
Itamwagwa jamvi sehemu kubwa zaidi.
Dari litakuwa pana zaidi. Hivyo kuhitaji mbao zaidi, boards,na vifaa vingi vya finishing.
Huku ghorofa ya vyumba vitano inagharimu zaidi kwenye
msingi na kutengeneza slab.
Hivyo, pesa unayotumia kujenga jumba kubwa la chini ndiyo hiyo hiyo utaongezea kidogo na kupata jengo la ghorofa.
Je huyu fundi yupo sahihi???
Si unataka uchimbe handakiYanifuate wapii?
Maneno ya vijiweni.Ila ghorofa ukifika 60 huliwezi tena utawaachia vijana
Ok ila nina ushuhuda na hili from balozi mstaafuManeno ya vijiweni.
SIkushauri,jenga nyumba ya chini naamini ndio umejipanga nayo. Maumivu utakayoyapata ndio yatakupa picha,"hivi ningejenga ghorofa ingekuaje?". Ghorofa jenga ukiwa tayari mwenyewe,na sio kwa ushawishi/utayari wa fundi,hilo sio kama tako kila mtu analo. Kila la heri,kama ushauri huu ukimaliza ujenzi utaona umekusaidia,tujuze.Fundi kuniambia kama unataka kujenga
nyumba yenye vyumba vinne au zaidi ni bora ujenge ghorofa.
Kujenga nyumba ni jambo kubwa. Unapofikia hatua ya kuamua idadi ya vyumba vya kulala, swali muhimu linajitokeza. Nijenge nyumba ya chini au ghorofa ?
Fundi kashauri kama unataka nyumba yenye vyumba vinne au vitano vya kulala ni bora ukajenga ghorofa. Lakini Ikiwa vyumba havizidi vitatu basi Jenga nyumba ya chini.
Kama unajenga jengo la vyumba vitano au vinne gharama hazitofautiani sana kama unavyofikiria
Wengi hufikiri nyumba kubwa ya chini ni nafuu. Lakini ukilinganisha nyumba yenye vyumba vitano vya chini na ghorofa yenye vyumba vitano gharama ni kama zinakaribiana kuwa sawa .
Tofauti iyaweza kuwa kati ya asilimia 25 hadi 35 tu.Siyo mara mbili au tatu ya gharama kama watu wengi wanavyodhani.
Fundi kaendelea kunishauri kama nitaamua kujenga nyumba yenye vyumba vinne au zaidi ya chini, maana yake nyumba hiyo itagharimu zaidi kwenye
Paa kubwa , mabati mengi, mbao nyingi.
Utajenga kuta nyingi za kugawa vyumba hivyo matofali ni mengi zaidi.
Itamwagwa jamvi sehemu kubwa zaidi.
Dari litakuwa pana zaidi. Hivyo kuhitaji mbao zaidi, boards,na vifaa vingi vya finishing.
Huku ghorofa ya vyumba vitano inagharimu zaidi kwenye
msingi na kutengeneza slab.
Hivyo, pesa unayotumia kujenga jumba kubwa la chini ndiyo hiyo hiyo utaongezea kidogo na kupata jengo la ghorofa.
Je huyu fundi yupo sahihi???
Ok ila nina ushuhuda na hili from balozi mstaafu
Kwani ghorofa huwezi kuweka chumba au vyumba chini? Yaani mtu asijenge ghorofa kisa akifika 60yrs hawezi kupanda ngazi? Ingekuwa hivyo zisingejengwaUna nguvu za kupandisha ngazi muda wote wa umri wako....?
Wewe ni fundi?SIkushauri,jenga nyumba ya chini naamini ndio umejipanga nayo. Maumivu utakayoyapata ndio yatakupa picha,"hivi ningejenga ghorofa ingekuaje?". Ghorofa jenga ukiwa tayari mwenyewe,na sio kwa ushawishi/utayari wa fundi,hilo sio kama tako kila mtu analo. Kila la heri,kama ushauri huu ukimaliza ujenzi utaona umekusaidia,tujuze.
Hayo maneno ya mwisho yana maana sanaGhirofa nani kwa ajili ya biashara litakulinda. Halafu watu hutishana. Inategemea na ukubwa wa ghirofa. Pia wengi hawana mawazo ya kutumia ardhi kwenda juu wao wanawaza matumizi ya hapo hapo chini. Kama una kiwanja kidogo ghirofa ni nzuri si lazima ujenge ghorofa kubwa.