Niite Nikupikie

Shukran kwa mawazo yako ila nikujulishe tu tangazo langu linajieleza wazi kabisa kua walengwa hapa ni WATU WENYE FAMILIA au hata kama upo single basi unatarajia kupata wageni flan basi unaniita nakupikia au shughuli flani unaniita nakupikia, lakini kama chakula ni cha mtu mmoja hata mimi nashauri uende tu mgahawani sababu siwezi kupika kwa bei ya mgahawa.
lakini nikwambie pia mimi ni Mke na ni Mama pia na hii project labda ni mpya kwa jamii forum lakini kwa sehemu nyingi za jiji la Dar sio mpya na watu wanafurahia huduma kwa miaka mitano sasa tangu nianze.
 
Oooh! i smell love lovie dovieee,

Siku ya kutembeleana niiteni niwapikie msosi mtamu mle mshibe.

i bet itakua on valentine day.
Ooooh yeeess!!

hilo ni booonge 1 la wazo!

Jiandae bibie,we'll keep you posted!

cc:my love Rebeca 83 kwa utekelezaji!😘😘😘😘😘
 
Ooooh yeeess!!

hilo ni booonge 1 la wazo!

Jiandae bibie,we'll keep you posted!

cc:my love Rebeca 83 kwa utekelezaji!😘😘😘😘😘

Na mimi nimeliafiki honey,

Ila siku nyingine,ningependa nikupikie mwenyewe 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
 
Na mimi nimeliafiki honey,

Ila siku nyingine,ningependa nikupikie mwenyewe 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
your wish is my command,

anytime,anywhere,anyhow,,

sweetheart!😘😘😘😘😘😘😘😘
 
Unajua kutengeneza kichuri + nyama choma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…