Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
Wanawake na vijana wa siku hizi, huwa mnaombaje msahaha kwa wapenzi / wenza wenu. Njooni mnipe mbinu zenu mpya za 2025.
Sisi mabinti wa zamani, ukiona umekosea unatafuta kale kanight dress kako kepesi unakavaa halafu unafunga kitenge juu. Akirudi toka kazini anakuta umempikia chakula chake pendwa.
Wajomba zenu walikua wanapenda kuangalia taarifa ya habari kila usiku, unampakulia chakula halafu unakaa na wewe kwenye kochi kitenge unapandisha juu kidogo anaona paja kwa mbali na ule mtelezo wa night dress.
Ukisimama kutoa vyombo, kitenge chako ulichokilegeza kinaanguka bahati mbaya, inabaki nightdress tu na hauna pichu ndani. Basi unainama mbele yake, unakiokota halafu unakifunga tena juu ya kifua unamtolea vyombo, unaenda jikoni.
Dakika si chache utasikia, mama fulani naenda kulala, hauji?
Hapo, kwisha habari yake, msamaha uliobaki unaombea kifuani huku anagugumia kama beberu.
Haya wadada na vijana, na nyie tuambieni siku hizi mnafanyaje?
Sisi mabinti wa zamani, ukiona umekosea unatafuta kale kanight dress kako kepesi unakavaa halafu unafunga kitenge juu. Akirudi toka kazini anakuta umempikia chakula chake pendwa.
Wajomba zenu walikua wanapenda kuangalia taarifa ya habari kila usiku, unampakulia chakula halafu unakaa na wewe kwenye kochi kitenge unapandisha juu kidogo anaona paja kwa mbali na ule mtelezo wa night dress.
Ukisimama kutoa vyombo, kitenge chako ulichokilegeza kinaanguka bahati mbaya, inabaki nightdress tu na hauna pichu ndani. Basi unainama mbele yake, unakiokota halafu unakifunga tena juu ya kifua unamtolea vyombo, unaenda jikoni.
Dakika si chache utasikia, mama fulani naenda kulala, hauji?
Hapo, kwisha habari yake, msamaha uliobaki unaombea kifuani huku anagugumia kama beberu.
Haya wadada na vijana, na nyie tuambieni siku hizi mnafanyaje?