Nihamie king'amuzi gani wadau?

Nihamie king'amuzi gani wadau?

Doyyi

Member
Joined
Mar 9, 2014
Posts
61
Reaction score
36
Baada ya ving'amuzi vingi kuzingua niliamua kununua continental ila sasa nao ni pasua kichwa. Hawako hewani takriban mwezi sasa, nikiwapigia hawanijibu (wananiwekea miziki tu). Mbaya zaidi ni kama wamenisubiri nimelipia kifurushi siku ya nne tu wakakata chaneli mpaka leo kimya. Jamani kwa wanaotumia continental, vp hali kwenu au ni king'amuzi changu tu? Naomba ushauri pia kwa wote kama ni kuwahama king'amuzi gani angalau kiko vizuri nihamie. Maana nakosa kabisa lengo la kuwa na Tv, wameshanisumbua mara nyingi tu mara wanafuta chaneli tu bila taarifa......yaani shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lawama yote kwa serikali....
maana saiv watoto wanakuwa kwa maadili ya kenya..inshort tunafatilia ya kenya kuanzia habari na michezo ya maigizo.
madhara baada miaka kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana serikali iko sahihi kabisa kwani sheria inasema TV zilizosajiriwa nchini zenye leseni ya kitaifa ni free kwanini watuuzie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom