deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 529
Yap vzr,nilisikia kua eti tv1 kwa dish hakuna kwa sasa nipe ukweli mdau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi changu si dish, ni antena.Yap vzr,nilisikia kua eti tv1 kwa dish hakuna kwa sasa nipe ukweli mdau
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi guarantee 100 percent, huenda sehemu na sehemu, mimi haisumbui kabisa
Siwezi guarantee 100 percent, huenda sehemu na sehemu, mimi haisumbui kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisikia kwenye dish ziko 5 tumbona local channel zinapatikana kwa antena tu, mfano kwangu naona itv, eatv, capital tv, channel ten, star tv, clouds tv, e tv, tbc, citizen tv, africa swahili tv, al jazeera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na malipo inakuwaje?Nunua Azam, Decoda toka Zanzibar,Comoro,Uganda,Rwanda, unaangalia channel za local zote
Sent using Jamii Forums mobile app
DSTVBaada ya ving'amuzi vingi kuzingua niliamua kununua continental ila sasa nao ni pasua kichwa. Hawako hewani takriban mwezi sasa, nikiwapigia hawanijibu (wananiwekea miziki tu). Mbaya zaidi ni kama wamenisubiri nimelipia kifurushi siku ya nne tu wakakata chaneli mpaka leo kimya. Jamani kwa wanaotumia continental, vp hali kwenu au ni king'amuzi changu tu? Naomba ushauri pia kwa wote kama ni kuwahama king'amuzi gani angalau kiko vizuri nihamie. Maana nakosa kabisa lengo la kuwa na Tv, wameshanisumbua mara nyingi tu mara wanafuta chaneli tu bila taarifa......yaani shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
King'anuzi gani hiko chenye local channel hizo??mbona local channel zinapatikana kwa antena tu, mfano kwangu naona itv, eatv, capital tv, channel ten, star tv, clouds tv, e tv, tbc, citizen tv, africa swahili tv, al jazeera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua Azam, Decoda toka Zanzibar,Comoro,Uganda,Rwanda, unaangalia channel za local zote
Sent using Jamii Forums mobile app
True??Nunua Azam, Decoda toka Zanzibar,Comoro,Uganda,Rwanda, unaangalia channel za local zote
Sent using Jamii Forums mobile app
siyo king'amuzi bali antena tu ile uswahilini wanaita mwiba wa samaki.
siyo king'amuzi bali antena tu ile uswahilini wanaita mwiba wa samaki.
Nunua Azam kwa kweli hata kama hakuna taarifa ya habari ni Bora Mara 1000, mimi sijaona Kingamuzi Cha maana kbs.Baada ya ving'amuzi vingi kuzingua niliamua kununua continental ila sasa nao ni pasua kichwa. Hawako hewani takriban mwezi sasa, nikiwapigia hawanijibu (wananiwekea miziki tu). Mbaya zaidi ni kama wamenisubiri nimelipia kifurushi siku ya nne tu wakakata chaneli mpaka leo kimya. Jamani kwa wanaotumia continental, vp hali kwenu au ni king'amuzi changu tu? Naomba ushauri pia kwa wote kama ni kuwahama king'amuzi gani angalau kiko vizuri nihamie. Maana nakosa kabisa lengo la kuwa na Tv, wameshanisumbua mara nyingi tu mara wanafuta chaneli tu bila taarifa......yaani shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Kali ya mwaka.Duh umetisha yaani Zanzibar tu hapo wanacheki local kwenye Azam Decoda.!