mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,837
- 8,221
Haa mnakumbuka ule mtindo wa wanawake wa ulokoni ukimtaka na akikubali atakwambia bwana we NIGWISAI LELO yaani bwana we niangushe basi lol ilikuwa kazi kweli kweli kwa vidume wa box 2 hasa kwawapo kwenye guest bubu(shamba la ndizi la pale TTc Matogoro),pia ile ngoma ya kitoto(?) pale waimbaji wakiimba MAMA KADODA ANALIA NA MSUKUMANO, si ajabu ndugu zetu Wangoni ukimpa hela itafika lakini si mkeo,
Nilikuwa just Nakumbuka Songea boys ya enzi hizo za kwa mzee Toinyo
Nilikuwa just Nakumbuka Songea boys ya enzi hizo za kwa mzee Toinyo