Nigwisai Lelo Na WanaSongea Boys a.k.a Box 2

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,837
8,221
Haa mnakumbuka ule mtindo wa wanawake wa ulokoni ukimtaka na akikubali atakwambia bwana we NIGWISAI LELO yaani bwana we niangushe basi lol ilikuwa kazi kweli kweli kwa vidume wa box 2 hasa kwawapo kwenye guest bubu(shamba la ndizi la pale TTc Matogoro),pia ile ngoma ya kitoto(?) pale waimbaji wakiimba MAMA KADODA ANALIA NA MSUKUMANO, si ajabu ndugu zetu Wangoni ukimpa hela itafika lakini si mkeo,
Nilikuwa just Nakumbuka Songea boys ya enzi hizo za kwa mzee Toinyo
 
nakumbuka hata ule wimbo wa zaina zaina zaina mtoti, mtoto wa kingoni , nipe rahaa! tukiimba wakati wa mchaka mchaka kuelekea junction! wangoni wanasema " penyewe hapo uninishikashika utaniwowa? Unakumbuka maneno kama nganga?
 
Nyie acheni ujinga wenu wa Bombambili hapa JF. Tunataka mawazo pevu hapa.

We haya ndo mawazo pevu hapa?
Ila palikuwa na ukame ajabu pale mahala kuna mwaka walijaribu kuwaleta wasichana ili iwe mchanganyiko na wote walipata mimba ndani ya miezi 6!
 
https://www.jamiiforums.com/members/jeff-chapa.html
jeff chapa
user_offline.gif

jeff chapa has no status.
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png

green.png

green_right.png
Join Date: Mon Feb 2009
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: NIGWISAI LELO NA WANA SONGEA BOYS a.k.a Box 2
Nyie acheni ujinga wenu wa Bombambili hapa JF. Tunataka mawazo pevu hapa.

https://www.jamiiforums.com/members/jeff-chapa.html
https://www.jamiiforums.com/members/jeff-chapa.html

sio kosa lake jama.
 
nakumbuka hata ule wimbo wa zaina zaina zaina mtoti, mtoto wa kingoni , nipe rahaa! tukiimba wakati wa mchaka mchaka kuelekea junction! wangoni wanasema " penyewe hapo uninishikashika utaniwowa? Unakumbuka maneno kama nganga?

Mimi ni mbox2 mzuri tu lakini simba aw Zaina kwa for the first time nimekuwa KJ 841 Mafinga chini wa muimbishaji mash uhuru aw Danger Coy Operation Vyama Vingi C Mariba ambaye kwa sasa ni Kamanda wa PCCB Mwanza
 
mkuu umenifanya nikumbuke mbali sana enzi za kina binti bulu, mayao, pora, ulokoni,milango tisaa ha ha ha
 
Daaah mikarapati na makoroboi uwanja wa mpira...kwenda kula maembe mletelee kule milimani ila funga kazi ni kuchunga,zamu ya mashineni,bustani na kupasua kuni ilikua shidaaaa hasa ukiwa umepuliza au ume-hang
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom